Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
kuna jamaa mmoja alikufa bahati nzuri akaenda moja kwa moja mbinguni/peponi. Huko alikutana na maelfu ya wenzake na wote walikuwa kama walivyozaliwa(uchi) na walionekana kama walikufa katika umri wa miaka 21 hivi. Sasa jamaa akaanza kuwaangali wale wenzake mmoja baada ya mwingine ili aone kama kuna yeyote anaweza kumtambua/kumfahamu. Kwa bahati nzuri aliwaona couple/wapendanao na palepale akawajua kwamba hawa ni Adam na Eva(Bible-Genesis).
Swali: Alijuaje kwamba hawa ni Adam na Eva??
Swali: Alijuaje kwamba hawa ni Adam na Eva??