Habarini ndugu.
Nimekuwa nikiagiza vitu mara kadhaa kutoka China hasa kwa kutumia Alibaba, 1688 na Taobao.
Ila kwa sasa nahitaji kupata connection pia ya namna ya kupata suppliers wa kutoka Dubai, kwa hivyo ndugu zangu, naomba yeyote mwenye connection anipe ABC za namna ya kutimiza jambo hili.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Nimekuwa nikiagiza vitu mara kadhaa kutoka China hasa kwa kutumia Alibaba, 1688 na Taobao.
Ila kwa sasa nahitaji kupata connection pia ya namna ya kupata suppliers wa kutoka Dubai, kwa hivyo ndugu zangu, naomba yeyote mwenye connection anipe ABC za namna ya kutimiza jambo hili.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.