Naomba connection kupata suppliers kutoka Dubai

herman3

JF-Expert Member
Feb 7, 2015
509
659
Habarini ndugu.

Nimekuwa nikiagiza vitu mara kadhaa kutoka China hasa kwa kutumia Alibaba, 1688 na Taobao.

Ila kwa sasa nahitaji kupata connection pia ya namna ya kupata suppliers wa kutoka Dubai, kwa hivyo ndugu zangu, naomba yeyote mwenye connection anipe ABC za namna ya kutimiza jambo hili.

Natanguliza shukrani zangu kwenu.
 
Habarini ndugu.

Nimekuwa nikiagiza vitu mara kadhaa kutoka China hasa kwa kutumia Alibaba, 1688 na Taobao.

Ila kwa sasa nahitaji kupata connection pia ya namna ya kupata suppliers wa kutoka Dubai, kwa hivyo ndugu zangu, naomba yeyote mwenye connection anipe ABC za namna ya kutimiza jambo hili.

Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Mkuu naomba ABC za kuagiza mzigo kutoka alibaba hadi hapa Tz... utakuwa umenisadida kwa maarifa
 
Mkuu naomba ABC za kuagiza mzigo kutoka alibaba hadi hapa Tz... utakuwa umenisadida kwa maarifa
Kuagiza kutoka Alibaba, kwanza unafungua account Alibaba, kisha unatafuta bidhaa unazohitaji, baada ya hapo unachat na supplier husika, ambapo utamwelekeza akufikishie bidhaa yako kwa kampuni zinazo safirisha kuleta Tanzania, ambapo mimi huwa nawapa address ya Silent Ocean iliyoko China (ukiingia Insta kwenye page ya silent ocean huwa wanaweka address yao ya China utaipata huko), kisha utamwambia akutengenezee order, then utabonyeza sehemu ya order utafanya malipo kwa VISA CARD AU MASTER CARD. (Pia zingatia kumwambia supplier wako aandike jina lako na namba yako ya simu kwenye mzigo).

Baada ya kufanya malipo, utamwambie akupe tracking number ambayo kupitia hiyo utaona kama mzigo wako umewafikia Silent Ocean kwenye ofisi zao za China.

Then, kama umefika, download app ya silent Ocean play store halafu utaweza kuingiza namba yako ya simu ya kujua siku ambayo mzigo utafika Tanzania, pamoja na gharama za usafiri kutoka China to TZ ambazo utalipia mzigo utakapofika.

ZINGATIA
Unapochagua supplier angalia mambo yafuatayo
1. Amekuwa verified? Kama hapana je, ni Gold supplier?
2. Je account yake ina miaka mingapi?
3. Je, walio nunua kwake wame_comment nini kuhusu bidhaa zake na uaminifu wake?
4. Je, amepata rank gani kwenye rate? 1 ni mbaya zaidi na 5 ni nzuri zaidi
Muhimu: Hakikisha malipo yote yanafanyika kwa kutumia Alibaba, kataa kabisa akitaka umlipe kwa njia nyingine nje ya Alibaba utalizwa.

Hivyo vigezo hapo juu ni kwa mujibu wa uzoefu wangu wa kutumia Alibaba kuagiza mizigo.

Sorry, najijua sina uwezo mzuri wa kuwasilisha ujumbe kwa maandishi, ikiwa una swali nitakujibu

NB: japo si kwa umuhimu, nimetoa mfano wa kusafirisha kwa kutumia kampuni ya Silent Ocean kwa kuwa ndio ambao nimekuwa nawatuma mara kwa mara, sina uzoefu na wasafirishaji wengine.

lakini bado nasubiri connection ya Dubai
 
Kuagiza kutoka Alibaba, kwanza unafungua account Alibaba, kisha unatafuta bidhaa unazohitaji, baada ya hapo unachat na supplier husika, ambapo utamwelekeza akufikishie bidhaa yako kwa kampuni zinazo safirisha kuleta Tanzania, ambapo mimi huwa nawapa address ya Silent Ocean iliyoko C
Nashukuru sana kwa maelezo ya kina mkuu, nimekuelewa kwa kiasi kikubwa

Details ambazo supplier ataaandika kwenye mzigo kwaajili yakuupeleka ofc za silent ocean uko China ni jina na namba ya simu tu pamoja na kupewa tracking number basi?

So Silent ocean watatumia namba yangu ya simu kama njia ya verify mzigo ni wangu ?

Na kujua gharama za kusafirisha mzigo kuja dar ni hadi silent waupokee kwanza ndio wakupigie mahesabu au hata kabla unazungumza nao kwanzakujua gharama za usafiri kwa mzigo unaitaka kuagiza?
 
Nashukuru sana kwa maelezo ya kina mkuu, nimekuelewa kwa kiasi kikubwa

Details ambazo supplier ataaandika kwenye mzigo kwaajili yakuupeleka ofc za silent ocean uko China ni jina na namba ya simu tu pamoja na kupewa tracking number basi?

So Silent ocean watatumia namba yangu ya simu kama njia ya verify mzigo ni wangu ?

Na kujua gharama za kusafirisha mzigo kuja dar ni hadi silent waupokee kwanza ndio wakupigie mahesabu au hata kabla unazungumza nao kwanzakujua gharama za usafiri kwa mzigo unaitaka kuagiza?
Silent Ocean wataingiza taarifa zako yaani Jina lako na namba yako ya simu kwenye system yao ambayo itakusaidia kutrack status ya mzigo wako. Pia tracking number utayopewa na supplier itakusaidia kujua kama mzigo umewafikia Silent ocean.

Pia, gharama za mzigo unaweza kuzijua hata kabla mzigo haujafika kwa silent ocean, utatakiwa kumwuliza supplier wako mzigo wako una CBM ngapi kisha utazidisha kwa $400 ambayo ni charges za Silent ocean kwa 1CBM

so itakuwa
Package CBM*400$=bei ya usafiri.
 
Silent Ocean wataingiza taarifa zako yaani Jina lako na namba yako ya simu kwenye system yao ambayo itakusaidia kutrack status ya mzigo wako. Pia tracking number utayopewa na supplier itakusaidia kujua kama mzigo umewafikia Silent ocean.

Pia, gharama za mzigo unaweza kuzijua hata kabla mzigo haujafika kwa silent ocean, utatakiwa kumwuliza supplier wako mzigo wako una CBM ngapi kisha utazidisha kwa $400 ambayo ni charges za Silent ocean kwa 1CBM

so itakuwa
Package CBM*400$=bei ya usafiri.
Nashukuru sana mkuu kwa haya maelekezo yako
 
Vip ukiachana na silent ocean vip ni wasafirishaji gani wengine wanaotoa mizigo china kuja bongo chini ya $400 per CBM?
Nimetumia mfano wa silent ocean kwa kuwa ndio ambao nina uzoefu nao, na bei zao ni reasonable kwa mtazamo wangu, labda wadau wengine waje watupe uzoefu wa wasafirishaji wengine.
 
Nimetumia mfano wa silent ocean kwa kuwa ndio ambao nina uzoefu nao, na bei zao ni reasonable kwa mtazamo wangu, labda wadau wengine waje watupe uzoefu wa wasafirishaji wengine.
Huwa natumia DHL express au FedEx ila wao wamebezi sana kwenye ndege.
 
Kuagiza kutoka Alibaba, kwanza unafungua account Alibaba, kisha unatafuta bidhaa unazohitaji, baada ya hapo unachat na supplier husika, ambapo utamwelekeza akufikishie bidhaa yako kwa kampuni zinazo safirisha kuleta Tanzania, ambapo mimi huwa nawapa address ya Silent Ocean iliyoko China (ukiingia Insta kwenye page ya silent ocean huwa wanaweka address yao ya China utaipata huko), kisha utamwambia akutengenezee order, then utabonyeza sehemu ya order utafanya malipo kwa VISA CARD AU MASTER CARD. (Pia zingatia kumwambia supplier wako aandike jina lako na namba yako ya simu kwenye mzigo).

Baada ya kufanya malipo, utamwambie akupe tracking number ambayo kupitia hiyo utaona kama mzigo wako umewafikia Silent Ocean kwenye ofisi zao za China.

Then, kama umefika, download app ya silent Ocean play store halafu utaweza kuingiza namba yako ya simu ya kujua siku ambayo mzigo utafika Tanzania, pamoja na gharama za usafiri kutoka China to TZ ambazo utalipia mzigo utakapofika.

ZINGATIA
Unapochagua supplier angalia mambo yafuatayo
1. Amekuwa verified? Kama hapana je, ni Gold supplier?
2. Je account yake ina miaka mingapi?
3. Je, walio nunua kwake wame_comment nini kuhusu bidhaa zake na uaminifu wake?
4. Je, amepata rank gani kwenye rate? 1 ni mbaya zaidi na 5 ni nzuri zaidi
Muhimu: Hakikisha malipo yote yanafanyika kwa kutumia Alibaba, kataa kabisa akitaka umlipe kwa njia nyingine nje ya Alibaba utalizwa.

Hivyo vigezo hapo juu ni kwa mujibu wa uzoefu wangu wa kutumia Alibaba kuagiza mizigo.

Sorry, najijua sina uwezo mzuri wa kuwasilisha ujumbe kwa maandishi, ikiwa una swali nitakujibu

NB: japo si kwa umuhimu, nimetoa mfano wa kusafirisha kwa kutumia kampuni ya Silent Ocean kwa kuwa ndio ambao nimekuwa nawatuma mara kwa mara, sina uzoefu na wasafirishaji wengine.

lakini bado nasubiri connection ya Dubai
Sorry ndugu yangu !! Nilikua napenda kujua gharama za Kodi zikoje hapo bandalini wakati wauingiza mzigo let say wa 4mil pia na hao silent ocean Wanachukua muda gani china mfano Guangnzou to Tanzania
 
Silent Ocean wataingiza taarifa zako yaani Jina lako na namba yako ya simu kwenye system yao ambayo itakusaidia kutrack status ya mzigo wako. Pia tracking number utayopewa na supplier itakusaidia kujua kama mzigo umewafikia Silent ocean.

Pia, gharama za mzigo unaweza kuzijua hata kabla mzigo haujafika kwa silent ocean, utatakiwa kumwuliza supplier wako mzigo wako una CBM ngapi kisha utazidisha kwa $400 ambayo ni charges za Silent ocean kwa 1CBM

so itakuwa
Package CBM*400$=bei ya usafiri.
Ouuuk I got you my brother
 
Sorry ndugu yangu !! Nilikua napenda kujua gharama za Kodi zikoje hapo bandalini wakati wauingiza mzigo let say wa 4mil pia na hao silent ocean Wanachukua muda gani china mfano Guangnzou to Tanzania
Ukiagiza kwa hao Silent ocean, kwa uzoefu wangu, hiyo bei ya 400$ per CBM inajumuisha kodi na wao ndio wanafanya clearance zote za bandarini na mzigo utaenda kuuchukulia kwenye godown zao chang'ombe. So hakuna charges zingine tena.


Haijakishi mzigo ni wa thamani gani, ila charges zao zina depend na CBM/ukubwa wa mzigo.

Hiyo ni kulingana na uzoefu wangu wa kuagiza mizigo kwa kuwatumia hao Silent ocean.
 
Back
Top Bottom