pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 11,645
- 14,806
Mkuu una mda gani huko toka uende
Mkuu una mda gani huko toka uende
Mkuu naomba unisaidie namba zako tafadhari, kama hautajali.Kwa ndege huwa natumia Unique air cargo japo mizigo huwa inachelewa hadi mwezi, naomba uzoefu wa DHL na FedEx hasa kwenye issue ya bei zao per kg
Mkuu nikihitaji cm unaweza kunitumiaMimi niko Dubai mkuu,naweza kukusimamia ukihitaji
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Niko na miezi 5 tangu nije hukuMkuu una mda gani huko toka uende
Ndio naweza kukutumia,unahitaji simu ya aina gani?Mkuu nikihitaji cm unaweza kunitumia
Mi nataka simu Samsung note 8 camon 17 na 16 tecno na redmi note 10 bei gani
njoo pmMi nataka simu Samsung note 8 camon 17 na 16 tecno na redmi note 10 bei gani
Nipe bei mkuu nijipange
njoo nikupe namba ya whatsap for easy communicationNipe bei mkuu nijipange
Google pixel 3xlNdio naweza kukutumia,unahitaji simu ya aina gani?
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
sawa,nitumie whatsapp number pm nitakutumia detailsGoogle pixel 3xl
Taobao kichina kingi, tusaidiane hapa kwenye kuagiza kupitia hii siteHabarini ndugu.
Nimekuwa nikiagiza vitu mara kadhaa kutoka China hasa kwa kutumia Alibaba, 1688 na Taobao.
Ila kwa sasa nahitaji kupata connection pia ya namna ya kupata suppliers wa kutoka Dubai, kwa hivyo ndugu zangu, naomba yeyote mwenye connection anipe ABC za namna ya kutimiza jambo hili.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Niko na swali nilikuwa nataka nikuulize kuhusu huko. Naweza kuku chek pm?njoo nikupe namba ya whatsap for easy communication
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
karibuNiko na swali nilikuwa nataka nikuulize kuhusu huko. Naweza kuku chek pm?
Hatuwezi kuweka maongezi na stori zote hapa itakuwa ni kuchafua uzi,sio kwa ubayaHuko pm huko looh[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
biashara ni kufanya maongezi yote hewani bei ya bidhaa na namna ya usafirishaji Kisha baada ya hapo contact na masuala ya miamala ndio iende pm , lakini hata bei ya simu nae mpaka mtu aje pm unaficha nini kwa sababu hii itanaweza ikakupa wewe mteja mwingine kupitia maelezo yako mazuri na ya kinaHatuwezi kuweka maongezi na stori zote hapa itakuwa ni kuchafua uzi,sio kwa ubaya
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Tatizo kila mteja anataka aina tofauti ya simu aipendayo,machaguo hayawezi kufanana ndio maana naona bora kupeana namba za wasap ili mtu ajiachie kuuliza maswali yote ayatakayo bila kujibana,maana usifikirie mteja atakuuliza swali moja tu aridhikeRaha ya
biashara ni kufanya maongezi yote hewani bei ya bidhaa na namna ya usafirishaji Kisha baada ya hapo contact na masuala ya miamala ndio iende pm , lakini hata bei ya simu nae mpaka mtu aje pm unaficha nini kwa sababu hii itanaweza ikakupa wewe mteja mwingine kupitia maelezo yako mazuri na ya kina
Mkuu unawezaje kufanya manunuzi 1688 maana naona ni kichina tu.Habarini ndugu.
Nimekuwa nikiagiza vitu mara kadhaa kutoka China hasa kwa kutumia Alibaba, 1688 na Taobao.
Ila kwa sasa nahitaji kupata connection pia ya namna ya kupata suppliers wa kutoka Dubai, kwa hivyo ndugu zangu, naomba yeyote mwenye connection anipe ABC za namna ya kutimiza jambo hili.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Mi nataka simu Samsung note 8 camon 17 na 16 tecno na redmi note 10 bei gani