Hii wana JF
Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.
Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.
Hebu tusaidiane hapo
Regards
Nimekusoma.
KUMBE unakwepa majukumu na gharama za kuoa.
Listen, hata GF wako anaweza kuwa anacheat tu kama kawaida.
Hii wana JF
Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.
Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.
Hebu tusaidiane hapo
Regards
Ukiona mmeo/mkeo anapata chance ya kwenda seminar 1 months mkoa mwingine au kampuni imempa scholarship ya kuja kusoma Master n.k jua hapo kuna possibility kubwa sana ya kuzidiwa kete!
Mambo haya ndio yananiogopesha na sio majukumu..lol
Binafsi naamini binadamu hupita katika hatua mabalimbali za maisha na kuoa binafsi na kiimani naamini ni hatua mojawapo! Unaposema umeona wengi wanatoka kwenye ndoa ongeza pia kuwa umeona wengi zaidi wakiiingia kwenye ndoa! Ndoa kwa imani yangu ni kusudio la Mungu na mpango maalum ulianzishwa na Mungu mwenyewe! yaani akatiak maagizo yote Mungu alitupatia NDOA ni agizo la kwnza kabisa alilolifanya YEYE MUNGU MWENYEWE! Ukisoma Kitabu kitakatifu cha Biblia; Kitabu cha Mwanzo unakuatana na haya yote! Hakumtuma nabii kuifanya ndoa; Aliiumba apale alipobaini kuwa Baba yetu Adamu alikuwa ni pweke na akajisemea yeye nafsini mwake kuwa Na tutmtengenezee mwenza; amabaye ni Hawa.
Tukirudi kwenye wasiwasi wako; kwanza ni mapokeo ya binadamu na kauli mbaya kabisa ni ile isemayo Ndoa ni mahali ambapo waliondani wanatamani kutoka na walio nje wanatamani kuingia! Hii ni kauli ya kushindwa na si ajabu woga wako umo kaika hili; unaogopa kushindwa!
Nakushauri kwanza upate wwasaa wa kujifunza nini maana ya ndoa; jifunze pia namana ya kuishi na mwenzio utakapokuwa ndani ya ndoa kwa kuzielewa tofauti zenu maana hakika nyie ni watu tofauti; achana hadithi za kisasa za eti hobbies zenu zinaendana; nazungumzia tabia zenu! baada ya hapo uwe tayari kumpenda na kumsamehe mwenzio! Ukifanya haya na maandalizi mengine ndoa yako itakuwa ya furaha!
Hii wana JF
Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.
Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.
Hebu tusaidiane hapo
Regards
Umewahi kuiba mke wa mtu? kama ndivyo nawe utaibiwa tu ukioa. Kama ulishaiba mke au mpenzi wa mtu, hiyo kumbukumbu haitakutoka hivyo ni vile umebeba bomu. Amua kukubali kuibiwa.
Kama hujawahi iba usiogope kwa huo mzuka wa kuiba hautakusumbua sana kichwani, na itakuwa rahisi kwako kuamini mwenza wako, popote pale utakapokuwa.
Kumbuka pia wanawake ni watu wa siri sana, na wanachofanya ni kusoma tabia yako ili kuweza kudeal na wewe. Akigundua kuwa wewe ni mwizi, au umeshawahi kuwa mwizi, au umeshawahi kuuvunja moyo wa mtu, atakuwa na wewe for the sake kwamba ameolewa na ana mume (wanawake wanapenda sana kuolewa), lakini kumoyo, kwamba anakupenda 100% na kwamba hata cheat, ni kubahatisha tu.
Hii wana JF
Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.
Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.
Hebu tusaidiane hapo
Regards
Nimekusoma.
KUMBE unakwepa majukumu na gharama za kuoa.
Listen, hata GF wako anaweza kuwa anacheat tu kama kawaida.
Hii wana JF
Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.
Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.
Hebu tusaidiane hapo
Regards
Mke akimegwa nje inauma zaidi kuliko GF!!