Msitulazimishe kuoa wakati ni rahisi kupata utelezi

Loading failed

JF-Expert Member
Sep 14, 2023
1,946
5,855
Nawasalimu kwa jina Jf.

Na watu wote tuseme Jf idumu milele

Wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wa kila rika pamoja na vyombo vyote vya kiimani tofauti tofauti kwa majina yao na imani zao wamekua wakitulazimisha sisi mabachelor kuoa huku wakitusihi kuoa ni jambo la heri na baraka.

Wanatuambia ukioa unasave garama za maisha, unakua unauwezo wakujiwekeza vizuri, kujenga uchumi imara na familia imara. Pia wengine wamedai ukioa unakuwa umekomaa kiakili na unaheshimika sana na jamii inayokuzungukana, wamekua wanatusukuma sana tuoe huku wakitujaza maneno matamu matamu kuwa ndoa ni baraka na ni njema hasa ukiwa uzeeni na pale ambapo hujiwezi.

Swali;

1: Ni kwanini wanatulazimisha tuoe na wakati utelezi tofauti tofauti tunapata kutoka kwenye nyapu nzuri nzuri za kumeremeta bila hata shida wala ratiba, tena huko tunadekezwa sana sisi mabachelor ni kwanini basi mnatushinikiza kuoa?

2: Ni kwanini mnatulazimisha kuoa ilihali sisi mabachelor tunaona mnavyo sota kwenye ndoa zenu huko kwa kunyimwa utelezi na kufanyiana makitu ya hapa na pale mabaya mabaya?

3: Ni kwanini mnatulazimisha kuoa na wakati hao mnaotaka tuwaoe teyari wanatupa utelezi kirahisi sana, tena wengine wanaishi vyuoni miaka na miaka maisha ya unyumba huku wakigawa utelezi kwa mababy boy wao wa chuo?

4: Kama tunaweza kupewa utelezi na kila pisi pamoja na kuzaliwa watoto kwanini basi mnatulazimisha na kuingilia uhuru wetu? Kwanini mnatusumbua sisi mabachelor na kutusisitiza kuoa na wakati mambo huku nje ni mteremko?

5: Kwanini mnatulazimisha kuoa na wakati nyie wenyewe mnachepuka huku nje na tunashare mademu ili hali mnawake zenu?

Ndugu wana JF, Jf idumu milele na milele hawa jamaa hawatutakii mema bali wanataka tuuze uhuru wetu wakuu.

Njoeni hapa tusaidiane mawazo, ujasiri huu wa kutusukuma tuoe na utelezi unapatikana kirahisi katika kizazi hiki cha nyoka wanautoa wapi?

Naomba kuwasilisha.
 
Nawasalimu kwa jina Jf.

Na watu wote tuseme Jf idumu milele

Wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wa kila rika pamoja na vyombo vyote vya kiimani tofauti tofauti kwa majina yao na imani zao wamekua wakitulazimisha sisi mabachelor kuoa huku wakitusihi kuoa ni jambo la heri na baraka.

Wanatuambia ukioa unasave garama za maisha, unakua unauwezo wakujiwekeza vizuri , kujenga uchumi imara na familia imara. Pia wengine wamedai ukioa unakuwa umekomaa kiakili na unaheshimika sana na jamii inayokuzungukana, wamekua wanatusukuma sana tuoe huku wakitujaza maneno matamu matamu kuwa ndoa ni baraka na ni njema hasa ukiwa uzeeni na pale ambapo hujiwezi.

Swali;

1: ni kwanini wanatulazimisha tuoe na wakati utelezi tofauti tofauti tunapata kutoka kwenye nyapu nzuri nzuri za kumeremeta bila hata shida wala ratiba, tena huko tunadekezwa sana sisi mabachelor ni kwanini basi mnatushinikiza kuoa.

2: Ni kwanini mnatulazimisha kuoa ilihali sisi mabachelor tunaona mnavyo sota kwenye ndoa zenu huko kwa kunyimwa utelezi na kufanyiana makitu ya hapa na pale mabaya mabaya

3: Ni kwanini mnatulazimisha kuoa na wakati hao mnaotaka tuwaoe teyari wanatupa utelezi kirahisi sana, tena wengine wanaishi vyuoni miaka na miaka maisha ya unyumba huku wakigawa utelezi kwa mababy boy wao wa chuo.

4: Kama tunaweza kupewa utelezi na kila pisi pamoja na kuzaliwa watoto kwanini basi mnatulazimisha na kuingilia uhuru wetu. Kwanini mnatusumbua sisi mabachelor na kutusisitiza kuoa na wakati mambo huku nje ni mteremko

5: kwanini mnatulazimisha kuoa na wakati nyie wenyewe mnachepuka huku nje na tunashare mademu ili hali mnawake zenu..

NDUGU wana JF , Jf idumu milele na milele hawa jamaa hawatutakii mema bali wanataka tuuze uhuru wetu wakuu.

Njoeni hapa tusaidiane mawazo

Ujasiri huu wa kutusukuma tuoe na utelezi unapatikana kirahisi katika kizazi hiki cha nyoka wanautoa wapi?

Naomba kuwasilisha
Kama sababu ya kuoa ndiyo hizo naona bado huna ukomavu wa kifikra jitafute
 
Kuoa sio kwa ajili ya utelezi tu kijana
1. Kuwa na watoto wa pamoja na malezi ya pamoja
2. Social confort, malaya hata kuja kukujali pene dharura, wakati huo ndugu zako watakua wako na ndoa zao
3. Kuepusha magojwa,

Kama unadhani ndoa ni kwa ajili ya utelezi tu, jiulize why wazee kama kina mlema waliamua kuoa kwa umri ule.

Chagua mnaeendana, tulizaneni
 
Kuoa sio kwa ajili ya utelezi tu kijana
1. Kuwa na watoto wa pamoja na malezi ya pamoja
2. Social confort, malaya hata kuja kukujali pene dharura, wakati huo ndugu zako watakua wako na ndoa zao
3. Kuepusha magojwa,

Kama unadhani ndoa ni kwa ajili ya utelezi tu, jiulize why wazee kama kina mlema waliamua kuoa kwa umri ule.

Chagua mnaeendana, tulizaneni
Kichwa cha habari ni tungo tata lazima uwe na akili kubwa kuelewa kimebabea ujumbe gani..

Utelezi umesimaa kama kivumishi tuu
 
Nawasalimu kwa jina Jf.

Na watu wote tuseme Jf idumu milele

Wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wa kila rika pamoja na vyombo vyote vya kiimani tofauti tofauti kwa majina yao na imani zao wamekua wakitulazimisha sisi mabachelor kuoa huku wakitusihi kuoa ni jambo la heri na baraka.

Wanatuambia ukioa unasave garama za maisha, unakua unauwezo wakujiwekeza vizuri , kujenga uchumi imara na familia imara. Pia wengine wamedai ukioa unakuwa umekomaa kiakili na unaheshimika sana na jamii inayokuzungukana, wamekua wanatusukuma sana tuoe huku wakitujaza maneno matamu matamu kuwa ndoa ni baraka na ni njema hasa ukiwa uzeeni na pale ambapo hujiwezi.

Swali;

1: ni kwanini wanatulazimisha tuoe na wakati utelezi tofauti tofauti tunapata kutoka kwenye nyapu nzuri nzuri za kumeremeta bila hata shida wala ratiba, tena huko tunadekezwa sana sisi mabachelor ni kwanini basi mnatushinikiza kuoa.

2: Ni kwanini mnatulazimisha kuoa ilihali sisi mabachelor tunaona mnavyo sota kwenye ndoa zenu huko kwa kunyimwa utelezi na kufanyiana makitu ya hapa na pale mabaya mabaya

3: Ni kwanini mnatulazimisha kuoa na wakati hao mnaotaka tuwaoe teyari wanatupa utelezi kirahisi sana, tena wengine wanaishi vyuoni miaka na miaka maisha ya unyumba huku wakigawa utelezi kwa mababy boy wao wa chuo.

4: Kama tunaweza kupewa utelezi na kila pisi pamoja na kuzaliwa watoto kwanini basi mnatulazimisha na kuingilia uhuru wetu. Kwanini mnatusumbua sisi mabachelor na kutusisitiza kuoa na wakati mambo huku nje ni mteremko

5: kwanini mnatulazimisha kuoa na wakati nyie wenyewe mnachepuka huku nje na tunashare mademu ili hali mnawake zenu..

NDUGU wana JF , Jf idumu milele na milele hawa jamaa hawatutakii mema bali wanataka tuuze uhuru wetu wakuu.

Njoeni hapa tusaidiane mawazo

Ujasiri huu wa kutusukuma tuoe na utelezi unapatikana kirahisi katika kizazi hiki cha nyoka wanautoa wapi?

Naomba kuwasilisha
Kuoa or kuolewa is for matured people. Bahati mbaya sana sasa hivi kila mtu anajiamulia kuoa au kuolewa ndiyo maana taasisi ya ndoa inajikuta imejengwa nje ya misingi na hivyo kuyumba na kuinekana kitu cha hovyo.
If it's not your thing just admit and move on
 
Nawasalimu kwa jina Jf.

Na watu wote tuseme Jf idumu milele

Wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wa kila rika pamoja na vyombo vyote vya kiimani tofauti tofauti kwa majina yao na imani zao wamekua wakitulazimisha sisi mabachelor kuoa huku wakitusihi kuoa ni jambo la heri na baraka.

Wanatuambia ukioa unasave garama za maisha, unakua unauwezo wakujiwekeza vizuri , kujenga uchumi imara na familia imara. Pia wengine wamedai ukioa unakuwa umekomaa kiakili na unaheshimika sana na jamii inayokuzungukana, wamekua wanatusukuma sana tuoe huku wakitujaza maneno matamu matamu kuwa ndoa ni baraka na ni njema hasa ukiwa uzeeni na pale ambapo hujiwezi.

Swali;

1: ni kwanini wanatulazimisha tuoe na wakati utelezi tofauti tofauti tunapata kutoka kwenye nyapu nzuri nzuri za kumeremeta bila hata shida wala ratiba, tena huko tunadekezwa sana sisi mabachelor ni kwanini basi mnatushinikiza kuoa.

2: Ni kwanini mnatulazimisha kuoa ilihali sisi mabachelor tunaona mnavyo sota kwenye ndoa zenu huko kwa kunyimwa utelezi na kufanyiana makitu ya hapa na pale mabaya mabaya

3: Ni kwanini mnatulazimisha kuoa na wakati hao mnaotaka tuwaoe teyari wanatupa utelezi kirahisi sana, tena wengine wanaishi vyuoni miaka na miaka maisha ya unyumba huku wakigawa utelezi kwa mababy boy wao wa chuo.

4: Kama tunaweza kupewa utelezi na kila pisi pamoja na kuzaliwa watoto kwanini basi mnatulazimisha na kuingilia uhuru wetu. Kwanini mnatusumbua sisi mabachelor na kutusisitiza kuoa na wakati mambo huku nje ni mteremko

5: kwanini mnatulazimisha kuoa na wakati nyie wenyewe mnachepuka huku nje na tunashare mademu ili hali mnawake zenu..

NDUGU wana JF , Jf idumu milele na milele hawa jamaa hawatutakii mema bali wanataka tuuze uhuru wetu wakuu.

Njoeni hapa tusaidiane mawazo

Ujasiri huu wa kutusukuma tuoe na utelezi unapatikana kirahisi katika kizazi hiki cha nyoka wanautoa wapi?

Naomba kuwasilisha
Jihadhari, utatumbukia kwenye ufukara, madeni, mikosi na magonjwa. Utelezi ni chanzo cha ubaya wote
 
Back
Top Bottom