ogm12000
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 304
- 86
Hii wana JF
Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.
Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.
Hebu tusaidiane hapo
Regards
Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.
Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.
Hebu tusaidiane hapo
Regards