Naogopa kuoa nifanyeje?

ogm12000

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
304
86
Hii wana JF

Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.

Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.

Hebu tusaidiane hapo


Regards
 
Hii wana JF

Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.

Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.

Hebu tusaidiane hapo


Regards

Nimekusoma.

KUMBE unakwepa majukumu na gharama za kuoa.

Listen, hata GF wako anaweza kuwa anacheat tu kama kawaida.
 
Nimekusoma.

KUMBE unakwepa majukumu na gharama za kuoa.

Listen, hata GF wako anaweza kuwa anacheat tu kama kawaida.

Hamna bwana sinyolita! . Naogopa kuwa na ndoa isiyokuwa na furaha. Vile vile naogopa kuzidiwa kete maana siku hizi mambo yamebadilika.

Majukumu ni sehemu mojawapo ya maisha hayakwepeki....Aisee yani ukiona watu wanavyozidiwa kete we acha tu.

Ukiona mmeo/mkeo anapata chance ya kwenda seminar 1 months mkoa mwingine au kampuni imempa scholarship ya kuja kusoma Master n.k jua hapo kuna possibility kubwa sana ya kuzidiwa kete!
Mambo haya ndio yananiogopesha na sio majukumu..lol
 
Hii wana JF

Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.

Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.

Hebu tusaidiane hapo


Regards

Binafsi naamini binadamu hupita katika hatua mabalimbali za maisha na kuoa binafsi na kiimani naamini ni hatua mojawapo! Unaposema umeona wengi wanatoka kwenye ndoa ongeza pia kuwa umeona wengi zaidi wakiiingia kwenye ndoa! Ndoa kwa imani yangu ni kusudio la Mungu na mpango maalum ulianzishwa na Mungu mwenyewe! yaani akatiak maagizo yote Mungu alitupatia NDOA ni agizo la kwnza kabisa alilolifanya YEYE MUNGU MWENYEWE! Ukisoma Kitabu kitakatifu cha Biblia; Kitabu cha Mwanzo unakuatana na haya yote! Hakumtuma nabii kuifanya ndoa; Aliiumba apale alipobaini kuwa Baba yetu Adamu alikuwa ni pweke na akajisemea yeye nafsini mwake kuwa Na tutmtengenezee mwenza; amabaye ni Hawa.

Tukirudi kwenye wasiwasi wako; kwanza ni mapokeo ya binadamu na kauli mbaya kabisa ni ile isemayo Ndoa ni mahali ambapo waliondani wanatamani kutoka na walio nje wanatamani kuingia! Hii ni kauli ya kushindwa na si ajabu woga wako umo kaika hili; unaogopa kushindwa!

Nakushauri kwanza upate wwasaa wa kujifunza nini maana ya ndoa; jifunze pia namana ya kuishi na mwenzio utakapokuwa ndani ya ndoa kwa kuzielewa tofauti zenu maana hakika nyie ni watu tofauti; achana hadithi za kisasa za eti hobbies zenu zinaendana; nazungumzia tabia zenu! baada ya hapo uwe tayari kumpenda na kumsamehe mwenzio! Ukifanya haya na maandalizi mengine ndoa yako itakuwa ya furaha!
 
Ukiona mmeo/mkeo anapata chance ya kwenda seminar 1 months mkoa mwingine au kampuni imempa scholarship ya kuja kusoma Master n.k jua hapo kuna possibility kubwa sana ya kuzidiwa kete!
Mambo haya ndio yananiogopesha na sio majukumu..lol

Ukimpenda mwenzio kitu cha kwanza kufanya ni kumwamini; usijitoe kinusunusu kwani ndivyo hata yeye atakavyokufanyia; mathalani kama hapa akijua kabisa wewe unamuwekea asilimia 50 za kumegwa atamegwa akijua hata asipomegwa wewe nafsini mwako unajua kuna kitu kinaendelea; ki ujumla unaku wewe ndo umempleka kwenye dhambi!

binafsi unatuhakikishieje kuwa wewe hakuna possibility kubwa ya kumega nje wakati yeye yupo masomoni? Mifan hai tunayo; mama kasafiri masomomoni anajibana huko anarudi anakuta baba amezaa na nyumba ndogo!
 
Binafsi naamini binadamu hupita katika hatua mabalimbali za maisha na kuoa binafsi na kiimani naamini ni hatua mojawapo! Unaposema umeona wengi wanatoka kwenye ndoa ongeza pia kuwa umeona wengi zaidi wakiiingia kwenye ndoa! Ndoa kwa imani yangu ni kusudio la Mungu na mpango maalum ulianzishwa na Mungu mwenyewe! yaani akatiak maagizo yote Mungu alitupatia NDOA ni agizo la kwnza kabisa alilolifanya YEYE MUNGU MWENYEWE! Ukisoma Kitabu kitakatifu cha Biblia; Kitabu cha Mwanzo unakuatana na haya yote! Hakumtuma nabii kuifanya ndoa; Aliiumba apale alipobaini kuwa Baba yetu Adamu alikuwa ni pweke na akajisemea yeye nafsini mwake kuwa Na tutmtengenezee mwenza; amabaye ni Hawa.

Tukirudi kwenye wasiwasi wako; kwanza ni mapokeo ya binadamu na kauli mbaya kabisa ni ile isemayo Ndoa ni mahali ambapo waliondani wanatamani kutoka na walio nje wanatamani kuingia! Hii ni kauli ya kushindwa na si ajabu woga wako umo kaika hili; unaogopa kushindwa!

Nakushauri kwanza upate wwasaa wa kujifunza nini maana ya ndoa; jifunze pia namana ya kuishi na mwenzio utakapokuwa ndani ya ndoa kwa kuzielewa tofauti zenu maana hakika nyie ni watu tofauti; achana hadithi za kisasa za eti hobbies zenu zinaendana; nazungumzia tabia zenu! baada ya hapo uwe tayari kumpenda na kumsamehe mwenzio! Ukifanya haya na maandalizi mengine ndoa yako itakuwa ya furaha!

Thanks ndugu yangu kwa mawazo mazuri.. Nitayafanyia kazi.
 
In order to get something you dont have, u must do things u have never done before - by sinyolita.

Usiogope ww oa tu! Mambo mengine utadeal nayo mbele.
 
Nakushauri ukaoe mwanawane manake maisha ya kukaa na bf and or gf is nat so good given that the so called Aids is spread all over the world.why afread of getting marriege?if you are an impotent one please be open so that jf members could help u
 
Mlume kamata mke. Maisha ya ndoa ni kama maisha mengine tu, unahitaji kujitune ktk rhythm hiyo na mambo mengine yote yanakuwa mswano.

Kuwa na familia kuna advantages kuliko disadvantages. Mojawapo ni kuwa tunahitaji kama taifa, utuzalie watoto na kuwatunza vyema wewe ukishirikiana na mkeo. Taifa linahitaji uhai.
 
Mkuu karibu katika ulimwengu wa waliooa, usikimbie challenge kaka zikabili tu, si ndoa zote zinakosa uaminifu. Oa Mpende Mkeo, mjali, mtimizie kila kitu kwa uwezo wako kama atakuwa ni muelewa hawezi kwenda Nje.
 
Hii wana JF

Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.

Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.

Hebu tusaidiane hapo


Regards

Umewahi kuiba mke wa mtu? kama ndivyo nawe utaibiwa tu ukioa. Kama ulishaiba mke au mpenzi wa mtu, hiyo kumbukumbu haitakutoka hivyo ni vile umebeba bomu. Amua kukubali kuibiwa.

Kama hujawahi iba usiogope kwa huo mzuka wa kuiba hautakusumbua sana kichwani, na itakuwa rahisi kwako kuamini mwenza wako, popote pale utakapokuwa.

Kumbuka pia wanawake ni watu wa siri sana, na wanachofanya ni kusoma tabia yako ili kuweza kudeal na wewe. Akigundua kuwa wewe ni mwizi, au umeshawahi kuwa mwizi, au umeshawahi kuuvunja moyo wa mtu, atakuwa na wewe for the sake kwamba ameolewa na ana mume (wanawake wanapenda sana kuolewa), lakini kumoyo, kwamba anakupenda 100% na kwamba hata cheat, ni kubahatisha tu.
 
Umewahi kuiba mke wa mtu? kama ndivyo nawe utaibiwa tu ukioa. Kama ulishaiba mke au mpenzi wa mtu, hiyo kumbukumbu haitakutoka hivyo ni vile umebeba bomu. Amua kukubali kuibiwa.

Kama hujawahi iba usiogope kwa huo mzuka wa kuiba hautakusumbua sana kichwani, na itakuwa rahisi kwako kuamini mwenza wako, popote pale utakapokuwa.

Kumbuka pia wanawake ni watu wa siri sana, na wanachofanya ni kusoma tabia yako ili kuweza kudeal na wewe. Akigundua kuwa wewe ni mwizi, au umeshawahi kuwa mwizi, au umeshawahi kuuvunja moyo wa mtu, atakuwa na wewe for the sake kwamba ameolewa na ana mume (wanawake wanapenda sana kuolewa), lakini kumoyo, kwamba anakupenda 100% na kwamba hata cheat, ni kubahatisha tu.

lol.. Kumbukumbu zangu hazionyeshi kama nimewahi kuiba mke wa mtu. Umeongea ukweli ni kupiga moyo konde na kuingia ktk maisha ya ndoa na kuona itakuwaje. Thanks kwa ushauri
 
Kuoa si lazima jamani, kama hautaki kuoa usioe. Haya mambo ya kulazimisha ndo yanawatokea puani akina Tiger Woods, bora angekuwa single kusingekuwa na tatizo kabisa.
 
Mimi nasema usioe wala nini. Kwa nini uji set up kuja kuvunja au kuvunjwa moyo hapo baadae? Ukioa utakuwa unajiingiza kwenye matatizo tu. Kama vipi wewe zaa tu na huyo demu wako na utakuwa na familia. Hakuna kitu chenye raha hapa duniani kama kuwa na amani kichwani mwako na hakuna kitu kibaya kama kuishi na wasiwasi kuwa mkeo atakuibia. Sasa shida yote hiyo ya nini?
 
Hii wana JF

Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.

Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.

Hebu tusaidiane hapo


Regards


...kama unaogopa unataka kujipa shida za nini? ama weye?!
 
Kwa taarifa yako, kati ya ndoa 100, huenda ni 3 tu ndio hudmu kuwa salama kwa mwezi, (japo ni hisia tu). Yaani hizo zingine zote, kwa mwezi zinakuwa aidha mmoja au wote wametoka nje ya ndoa ndani ya mwezi. Hivyo, habari ndio hiyo, kama hutaki kuoa, hulazimishwi, acha.
 
Hii wana JF

Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.

Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.

Hebu tusaidiane hapo


Regards

uwezi kukwepa majukumu ktk maisha na ukifanikiwa kukwepa majukumu utakwepa matokeo kama kuoa tabu basi jaribu kuolewa
 
mkuu kinachokusumbua saana sana ni hofu, maisha ya ndoa ni kama maisha ya kawaida tena ukioa matumizi ndio yanapungua kabisa huwezi amini, usiwe na hofu na wala usisikilize kelele za mashabiki, sio ndoa zoote zinamatatizo kikubwa muombe mungu akupatie mkwe wa chaguo lako then ukishamuoa mpende mvumilie mjali basi, mwanamke kikubwa anataka kuona unamjali na kumpenda basi it wont cost u
 
Mke akimegwa nje inauma zaidi kuliko GF!!

Mkuu,

Yeye kasema anaogopa kuoa kwa vile watu wanatoka nje ya ndoa - kumega/kumegwa nje.

Sasa, unless ana sababu nyingine, swala la kufyatuka nje lipo pale pale tu, hata kwa GF. Ni tabia tu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom