rusesa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2013
- 538
- 234
- Thread starter
- #21
Tatizo lako siyo kifo... Tatizo lako ni unaogopa kufukiwa na kifusi... wala usijali.. siku ya kifo chako wala hata hutojua kama umeshakufa...
Yamkini nimeshaamini hakika Mungu ataniwezesha! ntaishi tu hakuna kinachoshindikana mbele za Mungu. hakika sitakufa ntaishi hata peponi.