JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,795
- 9,153
Tatizo ni kuwa hayo yanasemwa na watu ambao hawajawahi kufa.wala usiogope,maana ukifa wala hutajua chochote kinachoondelea juu yaki;Ni kama vile unavyozaliwa kwa siku ya kwanza huelewi lolote linaloendelea,na kufa ni hivyo hivyo sema ukifa ogani zote mwilini zako zinakoma kufanya kazi