Nani zaidi kati ya Wordpress vs Drupal ?

Nani zaidi kati ya Wordpress vs Drupal ?

its challenging... huhu but programming its all about thinking not cramming guyz
ila nimemuelewa mkwawa, anachomaanisha yeye kuwa wengi wanaojiita maprogrammer wanakariri tu.

Elimu yoyote hasa inayohusu tech kukariri hakuepukiki though tofauti inakuja kwamba kuna wanaokariri baada ya kuelewa walichokikariri na wanaokariri pasipo kuelewa wanachokikariri. Ili kitu kukikumbuka na kikae kichwani kukariri hakuepukiki.
 
kuna sites nyingi sana wanafundisha different things, inategemea wewe unataka kujifunza kitu gani kama unataka kuelewa concepts vizuri cheki vitabu ya headfirst (Head First Labs from O'Reilly Media, Inc.) they have different books on different topics, i like the way the teach by making it a fun experience, and the thing is, kama unaanza kama mimi, sikua na uwezo wa kununua hivyo vitabu so i download them for free online, then u read, pia kuna this site net.tutsplus.com, webdesignerwall.com all these sites have very nice material, then kuna lynda.com ambao wanakupa 7 day free trial na kama vipi torrent those videos

thanks mkuu... niko bega kwa bega na kujifunza,,, nitafata ushaur wako,,, hiii lynda naipata,,, kwa faida ya wote,baada ya siku saba ukichange IP unaendelea na lessons kam kawa,, zikisha utakuwa unafanya hivyo hivyo.
 
na design sio kujua
design ni kipaji. unaweza jua tumia software zote na output yako ikawa
mbovu. na mwengine hata mouse hajui kushika lakini akimwelekeza tu mtu
anatoa kitu kizuri.

kwa experience yangu madeveloper wengi sio madesigner na developer
anapoingia kwenye ubishi huu basi anataka na yeye kudesign mwenyewe
(sababu ame ignore kazi ya designer) hii inasababisha muonekano wa kazi
ya developer kuwa sio mzuri na kazi yake kutofanikiwa. na designer naye
anapopata kichwa anataka adevelop wakati si kazi yake mwisho wa siku
anatoa kitu na bugs kibao

nenda store za app store, play store na wp store angalia vitu kama
temple run game bovu zaidi kupata kutokea (kicode) lakini linapendwa
dunia nzima.

hahaha chief hili game inaonekana limekukera sana!!
 
Kwahiyo waheshimiwa tunamaliza vipi mjadala huu? Nani zaidi kati ya wordpress na Drupal?
 
Kwahiyo waheshimiwa tunamaliza vipi mjadala huu? Nani zaidi kati ya wordpress na Drupal?

Lets conclude that its not the cms, its the developer, kama unajua any of the two is good enough. Kama unajua php na uko tayari ku hack into wordpress' core, then u can make any kind of site with it, ingawa drupal already has cck, you can create different kinds of contents natively while u have to code custom post types in wp, so do the math.
 
Nani zaidi kati ya wordpress na Drupal?


Lets conclude that its not the cms, its the developer, kama unajua any of the two is good enough. Kama unajua php na uko tayari ku hack into wordpress' core, then u can make any kind of site with it, ingawa drupal already has cck, you can create different kinds of contents natively while u have to code custom post types in wp, so do the math.
 
Nani zaidi kati ya wordpress na Drupal?
Lets conclude that its not the cms, its the developer, kama unajua any of the two is good enough. Kama unajua php na uko tayari ku hack into wordpress' core, then u can make any kind of site with it, ingawa drupal already has cck, you can create different kinds of contents natively while u have to code custom post types in wp, so do the math.

Well, rather than concluding, let's me open the discussion. Inategemea unataka kutengeneza site ya aina gani, features gani unataka ziwepo kwenye hiyo site, n.k. Both wordpress and Drupal may serve for different purposes.

Hapa ninachoona ni watu kusifia kuwa CMS fulani ni zaidi ya nyingine. Lakini kama developer unayetengeneza sites kwa wateja wako ni muhimu kukumbuka kuwa siyo kila mtu ni tech savvy kama wewe.

Hata kama developer umekuta CMS fulani unayoipenda and work well for you, it doesn't matter at all unless kama unajitengenezea site yako mwenyewe.

Jambo la muhimu hapa ni kuangalia kama mteja wako ataweza kuitumia hiyo CMS kwenye site yake kama anavyotaka yeye ifanye kazi.

Kwa hiyo, itakuwa bora kwa afya yako kama utachagua CMS ambayo ina, kwa mfano, simple admin interface, hata kama ni kui-customise ili ikidhi mahitaji ya mteja wako.

Kwa mteja yoyote, usimruhusu an IT guy kukuchagulia CMS. Ni breed wachache wanaolewa coding na interface ambayo ni user friendly au itakayokidhi matakwa yako.

Aidha uwe ni kampuni kubwa au kikundi cha freelancers, it is imperative that whoever the Mac guy is among you, sign off on anything that the IT guy presents. Itakuumiza kichwa, lakini hakikisha kuwa CMS unayotaka kuitumia ina good user interface na inakidhi mahitaji yako.

This will save you a lot of pain in the ass, time and money in the long run. The aim should be to contact your tech savvy once in while na siyo kila wakati. They will be making money, you will be losing even more money.

Kama umejikuta katika hali ambayo utahitaji coder to build the functionality of your site for you, then kwanza kabisa mpatie your tech savvy orodha ya mahitaji yako ili yeye akupatie options za CMS zinazoweza kukudhi mahitaji yako.

Tech savvy wako akupe faida na hasara za kila CMS objectively na siyo kupendelea CMS anayoipenda yeye.

Mteja kumbuka ushabiki wa kwenye CMS hauna tofauti na ule wa kwenye soka. Rather than being objective, ushabiki huu uko too personal. Mtu atakuambia kuwa Arsenal inacheza vizuri kuliko Manchester Utd, lakini ukweli utabakia kuwa Arsenal haijawahi kushinda ligi karibu miaka 10 sasa.
 
Kwahiyo waheshimiwa tunamaliza vipi mjadala huu? Nani zaidi kati ya wordpress na Drupal?

badala kuufunga mjadala uachwe wazi maana kuna vitu vimeingia viko nje ya swali ila vinarelate, mijadala kama hii inafaa sana maana mwisho hutaishia kupata jibu moja tu bali kuna vitu vitaweza kubadili mtazamo wako.
 
On your experience, kwenye bold, who is who?. Thanks.


Well, rather than concluding, let's me open the discussion. Inategemea unataka kutengeneza site ya aina gani, features gani unataka ziwepo kwenye hiyo site, n.k. Both wordpress and Drupal may serve for different purposes.

Hapa ninachoona ni watu kusifia kuwa CMS fulani ni zaidi ya nyingine. Lakini kama developer unayetengeneza sites kwa wateja wako ni muhimu kukumbuka kuwa siyo kila mtu ni tech savvy kama wewe.

Hata kama developer umekuta CMS fulani unayoipenda and work well for you, it doesn't matter at all unless kama unajitengenezea site yako mwenyewe.

Jambo la muhimu hapa ni kuangalia kama mteja wako ataweza kuitumia hiyo CMS kwenye site yake kama anavyotaka yeye ifanye kazi.

Kwa hiyo, itakuwa bora kwa afya yako kama utachagua CMS ambayo ina, kwa mfano, simple admin interface, hata kama ni kui-customise ili ikidhi mahitaji ya mteja wako.

Kwa mteja yoyote, usimruhusu an IT guy kukuchagulia CMS. Ni breed wachache wanaolewa coding na interface ambayo ni user friendly au itakayokidhi matakwa yako.

Aidha uwe ni kampuni kubwa au kikundi cha freelancers, it is imperative that whoever the Mac guy is among you, sign off on anything that the IT guy presents. Itakuumiza kichwa, lakini hakikisha kuwa CMS unayotaka kuitumia ina good user interface na inakidhi mahitaji yako.

This will save you a lot of pain in the ass, time and money in the long run. The aim should be to contact your tech savvy once in while na siyo kila wakati. They will be making money, you will be losing even more money.

Kama umejikuta katika hali ambayo utahitaji coder to build the functionality of your site for you, then kwanza kabisa mpatie your tech savvy orodha ya mahitaji yako ili yeye akupatie options za CMS zinazoweza kukudhi mahitaji yako.

Tech savvy wako akupe faida na hasara za kila CMS objectively na siyo kupendelea CMS anayoipenda yeye.

Mteja kumbuka ushabiki wa kwenye CMS hauna tofauti na ule wa kwenye soka. Rather than being objective, ushabiki huu uko too personal. Mtu atakuambia kuwa Arsenal inacheza vizuri kuliko Manchester Utd, lakini ukweli utabakia kuwa Arsenal haijawahi kushinda ligi karibu miaka 10 sasa.
 
Correction Sir. Ili uwe programmer mzuri lazima kwanza uilewe na uikariri. Kama programming sio kukariri basi njoo nikusimulie programming kama hadithi halafu nikupe kazi ya kuchapa code tuone kama utaweza.

Hivi mtu kama wewe unaelewa maana ya algorithim kwenye programming language kweli?
 
Back
Top Bottom