Nani zaidi kati ya Wordpress vs Drupal ?

Nani zaidi kati ya Wordpress vs Drupal ?

na design sio kujua design ni kipaji. unaweza jua tumia software zote na output yako ikawa mbovu. na mwengine hata mouse hajui kushika lakini akimwelekeza tu mtu anatoa kitu kizuri.

kwa experience yangu madeveloper wengi sio madesigner na developer anapoingia kwenye ubishi huu basi anataka na yeye kudesign mwenyewe (sababu ame ignore kazi ya designer) hii inasababisha muonekano wa kazi ya developer kuwa sio mzuri na kazi yake kutofanikiwa. na designer naye anapopata kichwa anataka adevelop wakati si kazi yake mwisho wa siku anatoa kitu na bugs kibao

nenda store za app store, play store na wp store angalia vitu kama temple run game bovu zaidi kupata kutokea (kicode) lakini linapendwa dunia nzima.

designing ingekua kipaji then watu wangekua hata wakijifunza vipi hawawezi, acha nikupe mfano halisi, nilikua sijui kabisa kudesign, my first ever client alinipa kazi ya web designing nikamtafuta mshikaji wangu aliyekua anadesign websites nikampa hiyo kazi anisaidie, mteja aliipenda website lakini mimi nikawa naona kama sio nzuri,kwa sababu i was trying to compare it with the best websites nazoziona online, so nikaamua kujifunza kwa kutumia internet, i went through a lot of design blogs, learned everything i possibly could hadi nikajua ku design, then nikajifunza kudesign kwa kutumia cms, i started with wordpress mpaka nikaweza, programming pia sio kipaji hata DHH, anasema there's no such thing as a pure programmer. Kila kitu ni kujituma tu hakuna kipaji wala nini, mfano (from March this year to June nimejifunza a new programming language mpaka nimeiweze, mwenye just by using the internet) its not rocked science my friend, its just hard work.

A big problem most developers make is ignoring the designing part thinking its for weak people, there's a reason javascript haikua inaheshimika, ni kwa sababu programmers used to think its not important because its for designers, lakini sasa hivi, ukimuuliza mtu yoyote ambaye ni software developer kuhusu javascript atakuambia ni muhimu sana kuijua especially kutokana na these libraries like (Node js, backbone, angular, ember etc).
 
designing ingekua kipaji then watu wangekua hata wakijifunza vipi hawawezi, acha nikupe mfano halisi, nilikua sijui kabisa kudesign, my first ever client alinipa kazi ya web designing nikamtafuta mshikaji wangu aliyekua anadesign websites nikampa hiyo kazi anisaidie, mteja aliipenda website lakini mimi nikawa naona kama sio nzuri,kwa sababu i was trying to compare it with the best websites nazoziona online, so nikaamua kujifunza kwa kutumia internet, i went through a lot of design blogs, learned everything i possibly could hadi nikajua ku design, then nikajifunza kudesign kwa kutumia cms, i started with wordpress mpaka nikaweza, programming pia sio kipaji hata DHH, anasema there's no such thing as a pure programmer. Kila kitu ni kujituma tu hakuna kipaji wala nini, mfano (from March this year to June nimejifunza a new programming language mpaka nimeiweze, mwenye just by using the internet) its not rocked science my friend, its just hard work.

A big problem most developers make is ignoring the designing part thinking its for weak people, there's a reason javascript haikua inaheshimika, ni kwa sababu programmers used to think its not important because its for designers, lakini sasa hivi, ukimuuliza mtu yoyote ambaye ni software developer kuhusu javascript atakuambia ni muhimu sana kuijua especially kutokana na these libraries like (Node js, backbone, angular, ember etc).

mkuu sjasema programing ni kipaji, kila mtu mwenye uwezo wa kukariri anaweza kuwa programmer nazungumzia design ndo kipaji.

unaweza ukamaliza kozi zote za design ukajua photoshop, illustrator, after effec na vitu vyote lakini output ikawa mbovu. watu mtaani tunao na tunawaona.

kwa case yako wewe unaweza ukawa ulikua na kipaji ila mwenyewe hujijui kama una kipaji halafu elimu ikakusaidia kugundua kipaji chako basi ukadhan elimu inakupa kipaji
 
mkuu sjasema programing ni kipaji, kila mtu mwenye uwezo wa kukariri anaweza kuwa programmer nazungumzia design ndo kipaji.

unaweza ukamaliza kozi zote za design ukajua photoshop, illustrator, after effec na vitu vyote lakini output ikawa mbovu. watu mtaani tunao na tunawaona.

kwa case yako wewe unaweza ukawa ulikua na kipaji ila mwenyewe hujijui kama una kipaji halafu elimu ikakusaidia kugundua kipaji chako basi ukadhan elimu inakupa kipaji

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kusomea kozi na kupata cheti na kujua kufanya kitu, hao ulionao mtaani ambao wamesomea kozi lakini output mbovu ni kitu cha kawaida. IT sio cheti, IT ni kuweza kufanya kitu period!, watu wengi wanasomea kozi hizo wanatafuta vyeti tu, kama upo serious you need to get your hands dirty and learn mwenyewe.

And by the way programming is not cramming, its just understanding logic, kama unafikiri programming ni cramming then you sir are very wrong.
 
chief-mkwawa, na Fadhili Paulo, huyu bwana zech nimbishi kwa asili, ila he has something, kidogo kanishawishi huko pm... ngoja twende taratibu nae, tutajua mbele ya safari
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni web developer so i know what i'm talking about, i have used both wordpress, drupal and now i use expressionengine which in my opinion is the best cms out there and i also code when necessary.
Hongera mkuu kwa kuwa na uwezo wa kudesign themes zako.... Kama hautojali naomba nione kazi zako ulizodesgn theme zako za wordpress kuna kitu namimi naweza nikajifunza
 
Hongera mkuu kwa kuwa na uwezo wa kudesign themes zako.... Kama hautojali naomba nione kazi zako ulizodesgn theme zako za wordpress kuna kitu namimi naweza nikajifunza

i don't design wordpress themes anymore, ila kama nikiwa na mteja ambaye specifically anataka wordpress ndio iwe cms yake i can do it, sasa hivi natumia expressionengine kwa sababu its fast to work with it. Same reason people prefer to use ruby on rails over php, its faster to create web apps with it than php(which most rails developers we think it is evil),my advice, kama unataka ku design wordpress theme, first design the website(ie in html,css,js etc) make sure it looks nice before it is even a wp theme, then use the wp loop to embed the wp stuff, its easier than u think na kama unahitaji tips, i can help any time, just email me (i wont charge to help you anyways)
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kusomea kozi na kupata cheti na kujua kufanya kitu, hao ulionao mtaani ambao wamesomea kozi lakini output mbovu ni kitu cha kawaida. IT sio cheti, IT ni kuweza kufanya kitu period!, watu wengi wanasomea kozi hizo wanatafuta vyeti tu, kama upo serious you need to get your hands dirty and learn mwenyewe.

And by the way programming is not cramming, its just understanding logic, kama unafikiri programming ni cramming then you sir are very wrong.
Mkuu nilikuwa namheshimu sana chief-mkwawa hapa kwenye hili jukwaa lakini baada ya kusema programming ni kukariri badala ya kuelewa logic nimemdharau mpaka mwisho
 
Last edited by a moderator:
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kusomea kozi na kupata cheti na kujua kufanya kitu, hao ulionao mtaani ambao wamesomea kozi lakini output mbovu ni kitu cha kawaida. IT sio cheti, IT ni kuweza kufanya kitu period!, watu wengi wanasomea kozi hizo wanatafuta vyeti tu, kama upo serious you need to get your hands dirty and learn mwenyewe.

And by the way programming is not cramming, its just understanding logic, kama unafikiri programming ni cramming then you sir are very wrong.

Correction Sir. Ili uwe programmer mzuri lazima kwanza uilewe na uikariri. Kama programming sio kukariri basi njoo nikusimulie programming kama hadithi halafu nikupe kazi ya kuchapa code tuone kama utaweza.
 
Mkuu nilikuwa namheshimu sana chief-mkwawa hapa kwenye hili jukwaa lakini baada ya kusema programming ni kukariri badala ya kuelewa logic nimemdharau mpaka mwisho

Siku zote anayepinga au kukubaliana na kitu flani lazima awe na sababu zinazomfanya apinge au kukubaliana na kitu hicho. Unaweza kutoa maelezo kwa nini hukubaliani na chief-mkwawa?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nilikuwa namheshimu sana chief-mkwawa hapa kwenye hili jukwaa lakini baada ya kusema programming ni kukariri badala ya kuelewa logic nimemdharau mpaka mwisho

huujui ulimwengu wa sku hizi upoje kuna master mind wachache wanaojua kazi zao na wanaokariri wengiiiii.

we unafkiri why wanaojua code wengi hawawezi kutoka wenyewe? wanakariri tu wale.

hata hizi apps kubwa unazoziona za fb, sjui twitter kuna wanaojua wachache na wanaokariri wengi wale wanaojua wanatoa order na wanaokariri wanafanya kazi app inakua fresh.

nischukuliwe kama nawatusi programer wapo wanaoweza ila kiuhalisia hali ndo ipo hv. anyway maybe silijui nilisemalo samahani kama nakosea
 
Last edited by a moderator:
i don't design wordpress themes anymore, ila kama nikiwa na mteja ambaye specifically anataka wordpress ndio iwe cms yake i can do it, sasa hivi natumia expressionengine kwa sababu its fast to work with it. Same reason people prefer to use ruby on rails over php, its faster to create web apps with it than php(which most rails developers we think it is evil),my advice, kama unataka ku design wordpress theme, first design the website(ie in html,css,js etc) make sure it looks nice before it is even a wp theme, then use the wp loop to embed the wp stuff, its easier than u think na kama unahitaji tips, i can help any time, just email me (i wont charge to help you anyways)

Ha ha haaa!!! Imebidi nicheke kwa kweli.
 
its challenging... huhu but programming its all about thinking not cramming guyz
ila nimemuelewa mkwawa, anachomaanisha yeye kuwa wengi wanaojiita maprogrammer wanakariri tu.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kusomea kozi na kupata cheti na kujua kufanya kitu, hao ulionao mtaani ambao wamesomea kozi lakini output mbovu ni kitu cha kawaida. IT sio cheti, IT ni kuweza kufanya kitu period!, watu wengi wanasomea kozi hizo wanatafuta vyeti tu, kama upo serious you need to get your hands dirty and learn mwenyewe.

And by the way programming is not cramming, its just understanding logic, kama unafikiri programming ni cramming then you sir are very wrong.

mkuu hapo kenye red heb recommend sites/forums/au books ambazo zitatusaidia na kuwa kam wewe mpiga msuli.
 
Correction Sir. Ili uwe programmer mzuri lazima kwanza uilewe na uikariri. Kama programming sio kukariri basi njoo nikusimulie programming kama hadithi halafu nikupe kazi ya kuchapa code tuone kama utaweza.

Labda tuseme hivi njoo wewe mimi nikufundishe programming halafu uniambie kama unahitaji kukariri au kuelewa, ukiona unakariri ujue mwalimu wako sio mzuri au wewe unapenda kukariri
 
mkuu hapo kenye red heb recommend sites/forums/au books ambazo zitatusaidia na kuwa kam wewe mpiga msuli.

kuna sites nyingi sana wanafundisha different things, inategemea wewe unataka kujifunza kitu gani kama unataka kuelewa concepts vizuri cheki vitabu ya headfirst (Head First Labs from O'Reilly Media, Inc.) they have different books on different topics, i like the way the teach by making it a fun experience, and the thing is, kama unaanza kama mimi, sikua na uwezo wa kununua hivyo vitabu so i download them for free online, then u read, pia kuna this site net.tutsplus.com, webdesignerwall.com all these sites have very nice material, then kuna lynda.com ambao wanakupa 7 day free trial na kama vipi torrent those videos
 
ijumaa imefika, Young Master tukutane mahala petu tupate kutia stori. leo ni siku ya kujiacha
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom