Shukrani A. Ngonyani
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,179
- 2,004
Tunajua sheria zetu zinamtaka raia wa kigeni ili afanye kazi nchini ni lazima kazi hiyo ikose mtaalamu mzawa wa kuweza kuimudu kufanya.
Ninachoshangaa kwenye miradi ya barabara wachina wanaendesha malori ya mchanga, wachina wanaendesha biashara ndogo ndogo(umachinga) huku serikali ikiwatazama tu.
Wachina Wamejazana kila kona tena sina hakika kama wote wana kazi maalumu ya kufanya, huku serikali imekaa kimya.
Tunakumbuka hata Ulaya wanavyoingia wahamiaji wanaotoroka nchi zao kaskazini na mashariki ya kati raia wao wamekuwa wakali kukataa wahamiaji wa aina hiyo kwa kutetea ajira zao kuporwa na wageni,
nashauri mapema kuepusha kama yale ya Afrika kusini walipowakatalia raia wa kigeni(tena weusi wenzao) na kuwataka warudi kwao kwa nguvu,
wachina wamekuwa jeuri, wanapiga raia hovyo, wanapiga askari, wanakiwa ni wahujumu wa maliasili zetu, utoroshaji wa pembe za ndovu, biashara za magendo. uvuvi haramu ktk bahari yetu na ujanja ujanja wa kila aina.
Tunahitaji diplomasia imara, lakini si kwa hali ilivyo sasa kwa raia wa uchina wanaomiminika nchini.
Tusikomae Kumfukuza mwizi huku tukiwa tumeacha mlango wazi.
Ninachoshangaa kwenye miradi ya barabara wachina wanaendesha malori ya mchanga, wachina wanaendesha biashara ndogo ndogo(umachinga) huku serikali ikiwatazama tu.
Wachina Wamejazana kila kona tena sina hakika kama wote wana kazi maalumu ya kufanya, huku serikali imekaa kimya.
Tunakumbuka hata Ulaya wanavyoingia wahamiaji wanaotoroka nchi zao kaskazini na mashariki ya kati raia wao wamekuwa wakali kukataa wahamiaji wa aina hiyo kwa kutetea ajira zao kuporwa na wageni,
nashauri mapema kuepusha kama yale ya Afrika kusini walipowakatalia raia wa kigeni(tena weusi wenzao) na kuwataka warudi kwao kwa nguvu,
wachina wamekuwa jeuri, wanapiga raia hovyo, wanapiga askari, wanakiwa ni wahujumu wa maliasili zetu, utoroshaji wa pembe za ndovu, biashara za magendo. uvuvi haramu ktk bahari yetu na ujanja ujanja wa kila aina.
Tunahitaji diplomasia imara, lakini si kwa hali ilivyo sasa kwa raia wa uchina wanaomiminika nchini.
Tusikomae Kumfukuza mwizi huku tukiwa tumeacha mlango wazi.