Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,124
- 49,501
naona nitafute mouth mask na air freshner nikae navyo karibu maana hali ya hewa itachafuka muda si mrefu!!
hiyo harufu ukipuliza air freshner utapata mchanganyiko mmoja matata sana...
naona nitafute mouth mask na air freshner nikae navyo karibu maana hali ya hewa itachafuka muda si mrefu!!
kulikuwa na kitoto kimebeba mfuko si kikaanza kukimbizwa na kuku...yaani group la kuku kama ishirini lamkimbiza...kila aendako anao analia mtoto kapata wazim maskini...basi akaudondosha ule mfuko kumbe ulikuwa na chakula cha kuku acha kuku wauvamie!!!!ngoja nisikilize ila kichwa hiki kilvyo kizito mmhh....
Basi nitafukiza udi farkhina taarisha chetezo kwaajili ya mabomu kutoka kwa @'Valentina'hiyo harufu ukipuliza air freshner utapata mchanganyiko mmoja matata sana...
naona nitafute mouth mask na air freshner nikae navyo karibu maana hali ya hewa itachafuka muda si mrefu!!
he he he weka taarabu sijui rusha roho tuburudike kwanzaaa!!!tunamalizia jumapili taratibuu...Alafu saivi rahaaa tuko wenyewe tu....mie ushungi naweka pembeni kwanza....leteni umbea sasa
hiyo harufu ukipuliza air freshner utapata mchanganyiko mmoja matata sana...
Alafu saivi rahaaa tuko wenyewe tu....mie ushungi naweka pembeni kwanza....leteni umbea sasa
kulikuwa na kitoto kimebeba mfuko si kikaanza kukimbizwa na kuku...yaani group la kuku kama ishirini lamkimbiza...kila aendako anao analia mtoto kapata wazim maskini...basi akaudondosha ule mfuko kumbe ulikuwa na chakula cha kuku acha kuku wauvamie!!!!
he he he weka taarabu sijui rusha roho tuburudike kwanzaaa!!!tunamalizia jumapili taratibuu...
Hawa madume ndo wametukimbia hivoo...ngoja tujiachie mijike kwa raha zetu.
eti wanamalizia wikiendi!
Na sie tunamalizia kimtindo!!
farkhina nrushie khanga yangu mwee tumeingiliwa!Vidume tupo jamani tumetulia tulii tunatafakuri