Nani yuko macho tupige stori?

Ahsante ndo nmeusikia leo...Nishakula ugali wa muhogo lakini si ulochanganywa na mtama!!
Mie huwa nakula ugali uliochanganywa unga wa Ngano+dona+muhogo...unakuwa mzuri sana yaan nikienda kwa watu au hotelini nikakutana na sembe au dona huwa sipati radha kabisa ya chakula.Mkoa niliopo mtama haupatikan ningeuongeza kwenye listi


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 

ntakutumia mtama uongezee kwenye list..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…