Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
mhhhhhh:hatari:Popo halali mchana wala usiku msidhani nimelala nawatazama tu hapa
mhhhhhh:hatari:Popo halali mchana wala usiku msidhani nimelala nawatazama tu hapa
mimi49 Nina shaka ulilala na viatu jana wewemhhhhhh:hatari:
mimi49 Nina shaka ulilala na viatu jana wewe
Ha ha ha umenichekesha wallahi!!!Halafu we nakuona wasinzia mdogomdogo hapo wajifanya unashindana na usingizi shaurizo utalala mpaka chooni mwe!!Hebu kalale bana!!mimi49 Nina shaka ulilala na viatu jana wewe
Ahahhahhah fanya masihara na taarabu....
Ha ha ha umenichekesha wallahi!!!Halafu we nakuona wasinzia mdogomdogo hapo wajifanya unashindana na usingizi shaurizo utalala mpaka chooni mwe!!Hebu kalale bana!!
Ngongoseke mh uko juu mpaka saa hz upo@jerrymsigwa...mie na bi nyau tuko poa tumeingia rasmi zamu ya mchana sasaNawewe siulikuwa wamsaidia pia?
Haya wapambe tumekuja ngoja nikushikizie lindo we kalale sasa bwana mkubwa....
Ngongoseke mh uko juu mpaka saa hz upo@jerrymsigwa...mie na bi nyau tuko poa tumeingia rasmi zamu ya mchana sasa
Umeona eeeh? No sleeping
Una wanga ha ha ha!!Nakwambia kama nimerogwa vile usingizi haupo mtihani hata nikija kuowa naona,hii kazi ya ulinzi haina maana kabisa,
Valentina hahahaha watu mwanzo mwisho karibu leo na wewe
Na wewe je lol naona ulitimka kisilensa ha ha ha!!!
Leo hakuna kusinzia,sangp uko kwnu sahv?
Nilikuwa nikiona ukiyarembua macho nikajisemea kimoyomoyo huyu analiangusha muda si mrefu :smile-big:Wee acha tu...c nlikunywa zanzi ikanizid maarifa mwinzio...lol
kwahio time zako za kudoz ndo zimewadia??2200hrs
kwahio time zako za kudoz ndo zimewadia??
Ndoto njema!!Bado bado!! Dah ila nimekaa humu aisee toka jana sa7 usiku!! Ayayayaya sasa niwaage jamani panapo majaliwa keshooo. 💤💤💤
Ahaahhahahaha😛😛😛😛😛😛