Mi naangalia tu hapa
Hahahahaha washalala...
Hahahahahaha Jerrymsigwa unamjua janja zako huyo...
Nadhani watakuwa wamelala na viatu,zile taarab na miduara ilikuwa balaa,na maji yenyewe yamekatika sijui hata kama wameoga pia😀😀😀
Leo sibanduki humu mie na nyie sahani moja mpaka majogoo....
Huku kidole juu....
nimeona kimya kingi kama ya farkhina
Hahahaha shoga angu tangu mda ule bado warusha roho😱😱😱😱😱
Hivi namuonea haya tu huyu jerrymsigwa la sivyo ningeshasasambura.....
Mduara umenoga shosti.....
Utaweza Story zangu mimi wewe? huku ndio kwanza saa 8.45 za usiku kwako huko saa ngapi?habari wapendwa. mimi usingizi umegoma, ambaye hajalala karibuni kwa stori.
Hivi namuonea haya tu huyu jerrymsigwa la sivyo ningeshasasambura.....
Mduara umenoga shosti.....
Hahaha toba weee usisasambue...
Kumbe Mimi hunionei aibu sio? Jerrymsigwa kishapaki gari sasambua mwali wee tuone
Tobaa kumbe mpo wengi....hebu niache haya mauno viuno...nijitafutie kina kasuku na rangi ya chungwa kutunza heshima yangu.....
Tushakufaidi sana tu bora uendelee tu kusasambua
NishaAcha mduara saa hizi...
Niko bussy na " najitulizaa kwake kasukuu yoyo...hataki maneno......."
Kumbe Mimi hunionei aibu sio? Jerrymsigwa kishapaki gari sasambua mwali wee tuone
Kweli leo umekomaa na jf simchezo mpaka walinda vitasa wenzangu wamekuacha farkhina@Jerrymsigwa@rugebwe78@mimi@bily