Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,202
- 1,464
Last edited by a moderator:
Nlijua una wageni leo farkhina Ana wageni leo
Hayaa ndio naaga rasmi TEAM popo wote ambao bado mpo...acha nielekee zangu kwetu kwa bi nyau...
J3 njema wapendwa@jerrymsigwa Ngongoseke@ farkhina na wengineo
Ukisubiri kupewa utachelewa....
Basi hapa walikuja watu wakajifanya wajanja eti wanakesha....lol saivi wanakoroma
nami ningekuwepo alipo farkhina tungekesha wote mweee.....kwao mchana..kwetu usiku...saaa hizi ye anakoroma lol!
We ndo wazinduka sasa salaam bidada!Daaa...watu wako gado aseee,,,mbona wengine mlikimbia lakini??
Daaa...watu wako gado aseee,,,mbona wengine mlikimbia lakini??
Nlijua una wageni leo farkhina Ana wageni leo
Na wewe je lol naona ulitimka kisilensa ha ha ha!!!Daaa...watu wako gado aseee,,,mbona wengine mlikimbia lakini??
Haya wapambe tumekuja ngoja nikushikizie lindo we kalale sasa bwana mkubwa....Macho kodooooo nipo bado hata sjalala
Ha ha ha halafu we ndo kwanza kuondoka hata mduara ulikupita mwe!!hahahaaa mbona hivyo lakini?