Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,364
Zimetiwa mdalasini,hiliki na uzile....lol
Mchuzi wa popcorn....
Ndio maana...dah...
Zimetiwa mdalasini,hiliki na uzile....lol
Mchuzi wa popcorn....
Hahahahhaha naenda kutengeneza zangu ile za microwave tu....
Duh haya bwana naona Leo disco limeingia mmasai,wacha niwatazame tu najua wakeshaji ni wangapi hapa wengine mnawasaidia tu kulinda vitasa wengine,
Una akili ww ...:thumbup:
Nambe naskia wewe ukiulizwa kituvwajibu asubuhiii...au vipi JerrymsigwaTeh teh asante...
Kumbe wakeshaji tupo wengi...
Nambe naskia wewe ukiulizwa kituvwajibu asubuhiii...au vipi Jerrymsigwa
Weee simpi mtu zenu mmeninyima🙄🙄🙄🙄
Hahahaa....farkhina bibi majungu hayo...jerrymsigwa hanionei raha mie...ila leo mie mpaka majogoo nirudishe heshima...lol
Uchoyo huo...Chako kula na wenzio
Ahhahahaha ndio zako wajibu majogoo uonekani umekesha😛😛😛😛😉😉
Nambe naskia wewe ukiulizwa kituvwajibu asubuhiii...au vipi Jerrymsigwa
Nambe naskia wewe ukiulizwa kituvwajibu asubuhiii...au vipi Jerrymsigwa
Huyu Nambe ni mjanja duh! Ana act yupo kumbe kapiga usingiz na asbh akikurupuka anaanza kuweka comment as if alikuwepo
Nimeweka siagi...mwe nilipitiwa na ucngizi itabidi turewind ha ha haPopcorn tamu.hizi..Nini siri ya upishi huu. mimi49
Umemshtukia eh?
Mchzi wa popcorn lolZimetiwa mdalasini,hiliki na uzile....lol
Mchuzi wa popcorn....
HalAfu we jerrymsigwa huwa unalala saa ngapi...
Maana kila nkichungulia humu upo....
Mi niko full time mkuu!! Shida za dunia tu utalalaje