Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
hebu tuondokee hapa usituharibie starehe zetuMuda mrefu sana nawatazama mnakata viuno tu,wengine hata hamjui kucheza kama wee nanii hapo duh kiuno kikavu kama gogo
hebu tuondokee hapa usituharibie starehe zetuMuda mrefu sana nawatazama mnakata viuno tu,wengine hata hamjui kucheza kama wee nanii hapo duh kiuno kikavu kama gogo
Nilijua tu kwa popcorn nitakuwezea!!Hhhhhhahaa labda nijie hizo popcorn....
Maana kama hamna hizi mie hampiti...
http://m.youtube.com/watch?v=Sv_kEdNwYtQ
hebu tuondokee hapa usituharibie starehe zetu
anzisha filamu basi popcorn tayari!Popcon zinatengenezeka kweli
Muda mrefu sana nawatazama mnakata viuno tu,wengine hata hamjui kucheza kama wee nanii hapo duh kiuno kikavu kama gogo
poa...nimepitwa na lipi hapa??
mtume mambo yashaharibika sasa hebu usinisumbue we mi namtazama denzel akifanya mambo yake!jibi langu jamani sasa
Nilijua tu kwa popcorn nitakuwezea!!
anzisha filamu basi popcorn tayari!
mtume mambo yashaharibika sasa hebu usinisumbue we mi namtazama denzel akifanya mambo yake!
mtume mambo yashaharibika sasa hebu usinisumbue we mi namtazama denzel akifanya mambo yake!
Hahahahahah mwenzangu jibu la mtihani? Hahahahhha
Pouwa..chukua pozisheni yako kbs...muvi linaanza
Akah....hiyo movie mwa act nyie?😱😱😱
Tunaangalia...tu..sio lzm..
Ha ha ha we kula kwa madoido tu utaishia kuonja tu!!!mpe basi japo soda ajaze tumbo!Sawa.....hizo popcorn mbona mwapiga matonge kama wali?
Sawa.....hizo popcorn mbona mwapiga matonge kama wali?
Popcorn tamu.hizi..Nini siri ya upishi huu. mimi49
Ha ha ha we kula kwa madoido tu utaishia kuonja tu!!!mpe basi japo soda ajaze tumbo!
hebu tuondokee hapa usituharibie starehe zetu