excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
utamaliza miji na waganga wote ila kunipata labda ndotoni...
lisemwalo halipo! kama lipo basi halipo!
utamaliza miji na waganga wote ila kunipata labda ndotoni...
lisemwalo halipo! kama lipo basi halipo!
mkuu umehitimu lini kidato cha nne?
Ndio unaamka mkuu?
Goodmorning!
Goodmorning!
Mkuu nipo ila huku leo kuna radi na mvua balaa naogopa kamchina kangu kataungua nawasha kwa machaleView attachment 127932
Good morning, mzima?
Haya mkeshaji weye uliishia wapi jana....au yalikushinda?
Yaani nilijitahidi kukomaa ila dah kumbe kazi ya ulizi ngumu
Hahahahahaha nlijua tu....
Hahahahaha waogopa mvua?
Wewe uliweza? Leo Ukiona nimelala nivute mguu
Mie nlibaki peke angu hapa hadi saa 12..
Ntakumwagia maji tena yabaridiii
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums