excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
huku now ni saaa 23:53...
haya mama lala na wewe!! waume zenu naona leo wamekaba mpaka penati!!
uthiku mwema ntoto nzuri!
huku now ni saaa 23:53...
Mmh we jamaa nawe
haya mama lala na wewe!! waume zenu naona leo wamekaba mpaka penati!!
uthiku mwema ntoto nzuri!
Jamaa akiona kimya tu anafkiri watu wanakula mua....🙄🙄🙄
yani unaniita halafu tena unarudi kulala? hahahahaaaa!!!
mkuu unachekesha bana!!
haya msalimie sana Jawilat, farkhina, mimi49, 'Valentina' na Ngongoseke!
unajua sisi huku philadelphia, majira ni tofauti kabisa na nyie huko tz!
saa ngapi sasa hivi lakini?
Kula mua te te tee
Ahsante Mkuu tumekupata huku kwetu Liwale tunakesha na mbu tu,endelea kukamua Mkuu kwa Obama wacha nizichange hata 2025 nije japo kutoa gundu,
life ni kokote mkuu!! wala hata usijali! wangapi wako bongo lakini maisha yso yako vizuri kuliko hata walioko philadelphia?
mambo yanabadilika sana wangu!
Mh aisee comment zako kiboko, mi nawaitaka sister eti kumbe ni watoto wazuri?
mambo?
Hodi wenyewe!!!!' jamani hamjanionea wife wangu mitaa hii? farkhina Jerrymsigwa valentine bily Jawilat
Wala hujakosea Mkuu,lakini kupanda ndege nako kibongo bongo heshima tosha,ntajitahidi nitimize ndoto zangu siku 1
Wala hujakosea Mkuu,lakini kupanda ndege nako kibongo bongo heshima tosha,ntajitahidi nitimize ndoto zangu siku 1
mkuu naona unaamka na kulala!!
mi nshaapa, nikikamata mmojawapo kati ya Jawilat, mimi49, farkhina, ama 'Valentina',
watasahau kabisa id zao za jf!! hahahahaaa!!
mwaka mzima tu mnasema walikuwepo! mnaangalia tu manyoya...!!!
piga buku kwanza mdogo wangu kama uko shule!
if not, then hustle hard.. america kuna inflation ajabu!
but still people make money!!
mshahara wako wa laki mbili kwa mwezi, wengine wanautengeneza kwa masaa nane tu!! hapo hamna extra time!!
but relax! things are going to be good one day!
mkuu naona unaamka na kulala!!
mi nshaapa, nikikamata mmojawapo kati ya Jawilat, mimi49, farkhina, ama 'Valentina',
watasahau kabisa id zao za jf!! hahahahaaa!!
mwaka mzima tu mnasema walikuwepo! mnaangalia tu manyoya...!!!
Laki 2 saa8?? Ndio mana wanakuja huku kuomba vibarua vya kulima na kujiita 'back packers'. Thats too low wage
Hatujamuona...hujambo wewe
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
piga buku kwanza mdogo wangu kama uko shule!
if not, then hustle hard.. america kuna inflation ajabu!
but still people make money!!
mshahara wako wa laki mbili kwa mwezi, wengine wanautengeneza kwa masaa nane tu!! hapo hamna extra time!!
but relax! things are going to be good one day!