Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Unajua kwenye pombe hii kiresa inapanda sana,mda wote unajisikia tu kumwaga ung'eng'e
Hahahahaha kuzurura mwenzangu weee nshachoka kuwekwa geti kali tena naruka ukuta leo nusra ntoe pua eti nimevaa lisketi langu baada ya kuvaa taiti....lol
Nyumba inazidi kupendeza alfajiri hii loh View attachment 127599
Hivi mmelala ama!!!!!
hapana nimeamka...
Tayari Kwa ujenzi Wa taifa
ndo nyumbani kwako?
akhuu mie sio mjenzi ni mlinzi..
tukija na farkhina tutapitia hapo..
akhuu mie sio mjenzi ni mlinzi..
bora yako we ni mlinzi wajenzi wa hili taifa wanateseka sana maana mkandarasi mwenyewe hajui kusimamia kazi yake kutwa kushinda kwenye miji ya watu anatuachia ma engineer na ma technician wezi wa simenti.
Napamba miti ya chrismas nina ugeni akina Nambe na charminglady wanantembelea
Na ukimaliza utupie picha tuone ulivyopamba!!!
Wewe Excell nakuhitaji hapaaa ndio kunakucha sasa uko wapi?
yani unaniita halafu tena unarudi kulala? hahahahaaaa!!!
mkuu unachekesha bana!!
haya msalimie sana Jawilat, farkhina, mimi49, 'Valentina' na Ngongoseke!
unajua sisi huku philadelphia, majira ni tofauti kabisa na nyie huko tz!
saa ngapi sasa hivi lakini?
Habari ya wakati huu jamani waungwana?