excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
kachoka leo
kwa hiyo umemkatia pande nani leo?
kachoka leo
mkatiane minofu lol
Tukupe dawa ya usingiz?
ni kwa sababu hauna usingizi...
Iv uyu mwenzetu hayo masaa mawl anayoondokaga we unahis atakua anaenda wap?
hahahahaaaaa!!! umelala tena?
hahahahaaaa!!!
braza umefuliaaaaa!!! bro umefuliaa, bro, bro, aisee bro umefulia!!
teh teh! (ts a joke man!)
mambo vp lakin?
Jambo nyinyi?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Haya lete story
mbona leo unatupia sana hiyo lugha tata?ntazira wallah!
itakua ndo mida yake ya kuchanganya dawa!leo itabidi atuweke wazi kwa kweli...
Shware sema sister!!
nimetoa kiti nimekaa mrangoni namsubili,razima atoe ufaafanuzi kwa kina...
na leo hakupikiki wala hakuliki hadi aseme anakoendaga.
Leo analo....
Hahahahahaha lol....
Nimerudi hamjambo lakini?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Bado wageni hawajafika vzr, sa8:30 ndio haswaaaa usiondoke hapa ni mpk asbh
Atujambo,leo apafanyiki lolote apa bila we kutwambi vizuri unaendaga wap kila siku hayo masaa mawili?
Hahahahaha kuzurura mwenzangu weee nshachoka kuwekwa geti kali tena naruka ukuta leo nusra ntoe pua eti nimevaa lisketi langu baada ya kuvaa taiti....lol