Dah aisee pole mkuu, foleni sa7 usiku? Park gari ukalale kuna gest bubu hapo kuanzia msikitini, rombo, baruti..dont risk kudrive night
Bora hata angekua na gari zile toy za watoto simple anaiweka mfukoni anaondoka zake🙄🙄🙄🙄🙄
Dah aisee pole mkuu, foleni sa7 usiku? Park gari ukalale kuna gest bubu hapo kuanzia msikitini, rombo, baruti..dont risk kudrive night
hata ule wa unga?
Ule wa unga ni kiboko..nikiwa Mazengo tech na akina Mwigulu ndio ilikuwa bonge la mboga, jamaa wa Sngd na dodoma walikuwa wanauleta na unatumika term nzima.
Ule haupikwi bana, ni kumix kwa beans tu unapiga na ugali...maisha haya kweli tumetoka far jmn
Poleeee....
Ndio upi huo?...
ni mlenda fulani hivi umeandaliwa kabisa,unafanya tuu kuuchemsha kwenye maji na karanga,nilikula long time ago kwenye pitapita zangu...ila sikuupenda,
Dah aisee pole mkuu, foleni sa7 usiku? Park gari ukalale kuna gest bubu hapo kuanzia msikitini, rombo, baruti..dont risk kudrive night
Pole inasaidia kweli?😃😃😃
Mpo hapa? Namtafuta mrembo flani anaitwa mimi49 hajapita hapa kweli?
Mambo ya watu sijawahi kula hasaa....
Nialike uupike huwo mlenda nione mtamu vipi...
Ule wa unga ni kiboko..nikiwa Mazengo tech na akina Mwigulu ndio ilikuwa bonge la mboga, jamaa wa Sngd na dodoma walikuwa wanauleta na unatumika term nzima.
Ule haupikwi bana, ni kumix kwa beans tu unapiga na ugali...maisha haya kweli tumetoka far jmn
Ndio ukoje? Hebu nifahamishe bhana weee
kwa huku nilipo sijui kama nitaupata,labda nikuagizie..na ugali wa mtama mgumuuuu
wangu ule mlenda ni mtamu sana afu unapikwa bana unauweka jikoni,unaweka karanga au maziwa mpaka usikie unanukia ndo unaiva nimeuagizia kwa bibi atantumia huku nlipo nimeumic sana.upate na mchuzi weee utakula ugali hadi basi farkhina ujaribu
Hao wenzio sio watu...acha gari kimbia🙄🙄🙄🙄
Ule wa unga ni kiboko..nikiwa Mazengo tech na akina Mwigulu ndio ilikuwa bonge la mboga, jamaa wa Sngd na dodoma walikuwa wanauleta na unatumika term nzima.
Ule haupikwi bana, ni kumix kwa beans tu unapiga na ugali...maisha haya kweli tumetoka far jmn
farkhina, hizo shkamoo zinatolewa kwa ubaguz?Shkamoo kaka....
Kapita nadhani ameshalala
wangu ule mlenda ni mtamu sana afu unapikwa bana unauweka jikoni,unaweka karanga au maziwa mpaka usikie unanukia ndo unaiva nimeuagizia kwa bibi atantumia huku nlipo nimeumic sana.upate na mchuzi weee utakula ugali hadi basi farkhina ujaribu