Rafiki yaani Husninyo kukukataa unataka kumchafulia CV,vipi Sugar rays walikuibia kiasi gani ?wanaoongoza kwa kuchakachua ni HUSNINYO tu.hamna mwingine anayemfuata.yeye ndo mchakachuaji mwanzo mwisho.uporoto01 mwenyewe anachakachua kwa kuunganisha comment za siasa,lugha,complaint na habari mchanganyiko sehemu moja lakini hawezi kufikia madhambi husninyo.mia
Thubutu,kwanza marufuku kupita kule lol!mpenzi mamboooooooo?? Kama ushanibwaga uniambie kabisa nikamwage cv love connect. Lol.