Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
huyo mke wake basi angepunguza bei iwe 30k kama kwa hawara......
mboni una sound kama peter nalitolela? ndiye wewe nini? Lol
huyo mke wake basi angepunguza bei iwe 30k kama kwa hawara......
huyo mke wake basi angepunguza bei iwe 30k kama kwa hawara......
...alivyorudi home mume akataka unyumba mke akamwambia mie kwangu ni laki kwa bao, mume akajua dili limebumburuka wakagombana vibaya na mume akakiri kweli alifanya hivyo na akaahidi kumwacha huyo kimada,
....mke hataki kumpa mpaka na yeye alipwe laki kwa bao, jana frnd ananical ananiambia wametengana na mr wake kwa kisa hiki mana mr wake anasema wife anamdharau na wife anasema "ulianza wewe mie namalizia"......nani wa kulaumiwa?......
ni mtoto wa kinyaki, kaenda hewani! nina hakika ukimuona utataharuki....ngoja nifanye mpango wa kuku2mia pic yake...ule kwa macho.
Basi kama lengo ni hilo basi kawin shost wako maana hapo the game is over-
ameshamkalisha chini sana tu kwa kweli na mie mwenyewe nikiwa shahidi....mdada ana akili ya maisha sana na mie mwenyewe nikamwambia hii rafu kwa ninavyokujua umeicheza ili ndoa ife kibudu, akaniambia ni kweli yaani nimetafuta kitu ambacho ctaki 2je aniombee msamaha wa kurudiana wala nini na hata akienda kuwaelezea ndugu zake nao wamwonye kunirudia....
Swadakata!wote wawili ni wa kulaumiwa,
Kweli huyu ni mume au mfano wa mwanaume?kinachomuumiza zaidi ni kwamba yeye akipata tatizo na kumuomba mr wake msaada huwa hapewi au ama ni laki atapewa 30 au 40 huo ni mfano tu lakini nje anatoa 30 kwa bao na maelezo ya mdada wa saloon jamaa anaenda bao 3, so ni 90 wakati yeye pesa ya mr wake anaickilizia bombani.....
Fidel... hivi ndugu yangu mnajua maana ya ndoa?..kulikoni uoe halafu uje ufanye vituko hivi? Ina maana ukiwa na visenti vya kubadilisha mboga wewe unabidilishia wanawake? hilo bao au sijui mabao ni nini kwa maisha yako? Mtu mwenye uchu namna hii ni hatari kwa maisha!Mjinga mwambie watu hawaendi hivyo lazima ajichunguze kwa nini mmewe anakubali kutoa elfu 30/= kwa bao? Basi anapata kitu adimu kutoka kwa huyo dada wa saloon.
Mj1.dada huyo wifi yetu kwa nini amekubali kulipiza katika mapenzi? angekaa na mumewe amweleze yote anayoyajua kisha aulize mapungufu yake
nilivyoona mie mdada alikuwa anatafuta njia ya wazi wazi ya kuachana na mumewe, mana wamevumiliana kwa mengi, ndoa ikiwa na mwaka jamaa alikutwa mchana na mkewe wakijivinjari chumbani kwa house gal, mdada alihuzunika sana akaombwa msamaha yakaisha, baada ya muda kidogo akackia jamaa ana mrembo na ana mimba, hajakaa sawa anaambiwa jamaa anatembea na sekretari wake, mara mrembo wa saloon, naona akayajumlisha akaamua na kutoa hapo hapo....
Ama kweli ndoa inaweza kumfikisha mtu pabaya kumgeuza malaika akawa shetani lucifer!ameshamkalisha chini sana tu kwa kweli na mie mwenyewe nikiwa shahidi....mdada ana akili ya maisha sana na mie mwenyewe nikamwambia hii rafu kwa ninavyokujua umeicheza ili ndoa ife kibudu, akaniambia ni kweli yaani nimetafuta kitu ambacho ctaki 2je aniombee msamaha wa kurudiana wala nini na hata akienda kuwaelezea ndugu zake nao wamwonye kunirudia....
Ndoa yao ni ya kanisani au kwa mkuu wa wilaya?na kama ni kanisani wakati wanakalishana chini kuna mzee wa kanisa padri au askofu aliyehusishwa au walikuwa wakilkalishana baa?
Kingine ni kweli waliowana kwa mapendo au walipeana mimba na kulazimishana kuoana?
Je vipi kabla ya kuoana walikutania kwenye matendo wayafanyao kwa sasa ya baa hotelini au kwenye matamasha?
hicho ndio kigezo chenu cha kutufanyia vimbwanga?
Huenda kweli institution of marriage katika zama za leo inahitaji overhaul.Hakuna mahali utasikia watu hawalalamiki kuhusu ndoa.Ukienda Ulaya na Marekani talaka ndio usiseme.Asia wahindi nao wana makasheshe yao hadi kuchomana moto wakiwa hai.Huku Afrika nako hatujatulia.Watu wanajifanya all is well lakini hamkani si shwari tena.Ukiangalia chanzo cha matatizo mengi ya ndoa ni kukosa uvumilivu, kutokuridhika na ulie naye, kutokutosheka na ulicho nacho.Vile vile kuingia kwa vionjo vipya katika kila nyanja - mavazi, mapambo ya mwili, mridhishano vyumbani, mashindano ya kipuuzi,kutokujali wengine watasema nini, kutokuona aibu wala soni, ukatili na roho mbaya, kukosa huruma, kutokujali, n.k.Technolojia nazo zimerahisisha mambo - simu za mikononi zinafanya iwe rahisi watu kutongozana, mitandao nayo inarahisisha mawasiliano, usafiri, - yote haya ni matokeo ya utandawazi!KAZI IPO!
Enzi za zamani ilikuwa kazi kweli kufanya vituko kwa maana ungeonekana uko tofauti na binadamu wa kawaida.Ila kwa siku hizi ni kawaida ni maendeleo.Ukitendwa nawe unatenda mechi inatoka droo! NGOJA TUONE ITAISHIA WAPI.
Hii ndoa haikuwepo in the first place.....kwa maoni yangu haikumaanishwa waishi pamoja..wote mwanamke na mwanaume wana makosa as far as the marriage institution is concerned. Kilichopo, maadamu ushahidi wa kuzini upo, basi wafate taratibu waiterminate hiyo ndoa tu....
na wengi huchukulia hicho kigezo cha uvumilivu kuumizana. Simply because tunatakiwa kuvumilia basi hawa wenzetu huamua kufanya ya kufanya ili tuvumilie. Fakoff uvumilivu my foot