nani wa kulaumiwa?

nani wa kulaumiwa?

Fakoff uvumilivu my foot

I agree with you! Uvumilivu my ass. Haya mambo ya marriage yameshapitwa na wakati. Yeah, ni vizuri kuwa na companionship but shit..that doesn't mean that you have to put up with someone's BS.

Imagine being hooked with someone for life. It's frightening. Katika zama hizi mimi naona haifai kuoa au kuolewa kwa sababu chances are greater mtafikia mahali mtaanza kuibiana na kuumizana. Sasa yote hayo ya nini?
 
Kaka kaizer yaani kusema ukweli unapoamua kuoa huwa mnachagua mwanamke ambaye mnajua fika anakufaa sasa atakapobadilika anza kwanza kujichunguza wewe penmgine ndio chanzo

Mimim ninakueleza nimeshaingia dhambi ya kuwaza kucheat mara kibao na si kwa sababu simpendi laaziz wangu nampenda sana na ndio maana nikaghairi but matendo yanapelekea kuwaza vinginevyo

Ninafeel kabisa yalomkuta shogake nyamayao

Kisa na maana hukuteleleza kabisa ni nini, (huko 'kumpenda sana siamini,,,hasa pale unapojua kabisa kuwa amekucheat) LOL..ungemalizia kabisa kama alivofanya shogake mrs wangu nyamayao.....

hii weekend vipi tukale supu ya makongoro sehem sehem manake nina mpango wa 'kunywa' leo...😀
 
Mpiganaji, mimi sifagilii kabisa haya mambo ya ndoa. Ni total bs!
pamoja sana!mimi mwenyewe naona ''the whole thing is out of phase by 180 degrees''

-kwamba the marriage stori,is not going INTO SINGLE-PROFILE with the current prevailling cituation of life-system!
 
Kisa na maana hukuteleleza kabisa ni nini, (huko 'kumpenda sana siamini,,,hasa pale unapojua kabisa kuwa amekucheat) LOL..ungemalizia kabisa kama alivofanya shogake mrs wangu nyamayao.....

hii weekend vipi tukale supu ya makongoro sehem sehem manake nina mpango wa 'kunywa' leo...😀

Kaizer sometimes mtu unakuwa na hasira ambayo ukiiendekeza inakupelekea kufanya vitu ambavyo unaweza kuregrete baadae.... thanx god kwa aliyevumbua kilevi maana nahisi isingekuwa hiyo ningekuwa na Fataki kama si serengeti boy tayari

Shit
 
Kaizer sometimes mtu unakuwa na hasira ambayo ukiiendekeza inakupelekea kufanya vitu ambavyo unaweza kuregrete baadae.... thanx god kwa aliyevumbua kilevi maana nahisi isingekuwa hiyo ningekuwa na Fataki kama si serengeti boy tayari

Shit

Pole dada....
 
I remember seeing a chickflick along these lines, demu anaenda ku shop for cosmetics department store, salesgirl mapepe anatoa nyeti kuhusu huyu bwana lawyer tajiri mume wa mtu, kumbe anaempa story ndiye mwenyewe.I forgot the name of that movie, this is life imitating art, lol.
 
Kaizer sometimes mtu unakuwa na hasira ambayo ukiiendekeza inakupelekea kufanya vitu ambavyo unaweza kuregrete baadae.... thanx god kwa aliyevumbua kilevi maana nahisi isingekuwa hiyo ningekuwa na Fataki kama si serengeti boy tayari

Shit

kwa hiyo kupitia kilevi UNALIWAZIKA,AU UNAPUMBAZIKA?
-au unasolve?
-au unapostpon the problem?
 
Kaizer sometimes mtu unakuwa na hasira ambayo ukiiendekeza inakupelekea kufanya vitu ambavyo unaweza kuregrete baadae.... thanx god kwa aliyevumbua kilevi maana nahisi isingekuwa hiyo ningekuwa na Fataki kama si serengeti boy tayari

Shit

basi basi basi MJO........'yana mwisho' haya, LAKINI: Usipovifanya wewe hivo vitendo, akavifanya yeye, matokeo ni yale yale, ndo ubaya wa hii formula!
 
What ever it is mradi inanisaidia ninapata usingizi walau kwa usiku otherwise mawazo yanawezanifanya niokote makopo barabarani..........................................
 
basi basi basi MJO........'yana mwisho' haya, LAKINI: Usipovifanya wewe hivo vitendo, akavifanya yeye, matokeo ni yale yale, ndo ubaya wa hii formula!


Ni kweli but it need heart kumfanyia mambo yasiyofaa mwenzi wako ambaye ulideclare mbele ya kadamnasi kuw aunampenda

Hatukatai tunajua watu wanafanya but itakapofikia mtu anafanya hadharani bila kuogopa kumhurt mwenzi wake hapo hakuna mapenzi tena
 
Ni kweli but it need heart kumfanyia mambo yasiyofaa mwenzi wako ambaye ulideclare mbele ya kadamnasi kuw aunampenda

Hatukatai tunajua watu wanafanya but itakapofikia mtu anafanya hadharani bila kuogopa kumhurt mwenzi wake hapo hakuna mapenzi tena

Dada, kama hayo ndiyo yamekukuta kwa nini usisepe tu? Ndio, itauma lakini maumivu hayatakuwa ya milele. Yatapoa tu na yakipoa utashukuru Mungu uliamua kufanya hivyo kuliko kukaa kuendelea kuwa ktk huo uhusiano ambao unakukosesha raha. Nini kinachokufanya usiondoke?
 
What ever it is mradi inanisaidia ninapata usingizi walau kwa usiku otherwise mawazo yanawezanifanya niokote makopo barabarani..........................................

anyways,pain IS LOVE!unachokosea wewe ni kuulazimisha moyo wa mwenzio UPENDE KWA STAILI UNAYOTAKA WEWE!HICH IS NOT POSSIBLE!wewe unapasa kuuridhisha moyo wako kwa kumpenda!umuonyeshe mapenzi kiasi cha kuuridhisha moyo wako!USIANGALIE NAMNA ANAVYORESPOND!ukiangalia hivyo UTAKUFA PRESHA
 
Dada, kama hayo ndiyo yamekukuta kwa nini usisepe tu? Ndio, itauma lakini maumivu hayatakuwa ya milele. Yatapoa tu na yakipoa utashukuru Mungu uliamua kufanya hivyo kuliko kukaa kuendelea kuwa ktk huo uhusiano ambao unakukosesha raha. Nini kinachokufanya usiondoke?

Ni kweli swali lako ni la msingi tatizo hata mie sijui why am still hanging

Nway hii thread ni ya nyamayao please forget about me ninaomba
 
Dada, kama hayo ndiyo yamekukuta kwa nini usisepe tu? Ndio, itauma lakini maumivu hayatakuwa ya milele. Yatapoa tu na yakipoa utashukuru Mungu uliamua kufanya hivyo kuliko kukaa kuendelea kuwa ktk huo uhusiano ambao unakukosesha raha. Nini kinachokufanya usiondoke?

...hata 'teja' anatamani aachane na 'bwi-mbwi' lakini ndio mambo ya addiction hayo mkuu,...unageuka mpofu na kiziwi kwa matarajio ipo siku 'ataacha' tu...!
 
Back
Top Bottom