nani wa kulaumiwa?

nani wa kulaumiwa?

Hizi ndoa hasa za mnazoita za dot com ni balaaa. Hakuna kitu kibaya katika ndoa kama una hawara akajulikana kwa mwenzi wako. Maokeo yake ni kuharibu kila kitu mlichokisotea kwa miaka, say mipango ya pamoja ya maendeleo, malezi kwa watoto, mapenzi, uainifu, you name all. Mwisho wake kama suluhu haitapatikana mapema jua kuwa akina mama ni wajanza sana na watajitahadharisha kwa mengi ikiwemo kuwa na secret developmemts (assets- liquid and material). Kama mlikuwa hamjajenga hata kibanda ujue ni hatari zaidi. I.e Dwarf developement is the outcome!!!! Ukioa kwa kumaanisha basi utabaki na mke/mume mmoja hadi umauti utakapowatenganisha, na inawezekana. Vijana mnaoa/olewa amua kwa ridhaa yako na achana na mahusiano ya zamani kabisa na utadumu katika ndoa mpaka jubilee zote muhimu, 25, 50, 75 ....etc!!!
 
...hata 'teja' anatamani aachane na 'bwi-mbwi' lakini ndio mambo ya addiction hayo mkuu,...unageuka mpofu na kiziwi kwa matarajio ipo siku 'ataacha' tu...!

Hmmmm...kweli tumeumbwa tofauti. Labda dik dik tamu kuliko...Lol
 
Hmmmm...kweli tumeumbwa tofauti. Labda dik dik tamu kuliko...Lol


Nope it has nothing to do with that


Ni kama anavyosema WoS jamii inayokuzunguka soemtimes inakufanya ufikiria mara mbili mbili. Si rahisi hivyo especially kwa mwanamama mwenye familia kama ilivyo kwa mwanamme au mwanadada ambaye bado yuko msichana
 
Nope it has nothing to do with that


Ni kama anavyosema WoS jamii inayokuzunguka soemtimes inakufanya ufikiria mara mbili mbili. Si rahisi hivyo especially kwa mwanamama mwenye familia kama ilivyo kwa mwanamme au mwanadada ambaye bado yuko msichana

Wengine huwaga wanakataa tu lakini privately wanakiri ni utamu wa dik dik unaowafanya wabakie kwenye ndoa mbaya. Aaah anyway, mimi sijui bana. All I know, if it was me, under no circumstances would I put with any type of BS from anyone. Under no circumstances!
 
Wengine huwaga wanakataa tu lakini privately wanakiri ni utamu wa dik dik unaowafanya wabakie kwenye ndoa mbaya. Aaah anyway, mimi sijui bana. All I know, if it was me, under no circumstances would I put with any type of BS from anyone. Under no circumstances!

Sidhani hii inaweza kuwa sababu.... ukiongea na wenye kuwa kwenye situation kama hii watakuambia hata hiyo DK DK hawaitamani. Ni mfumo mzima ulivyo tu....haumpi mwanamke fursa za kuachana na ndoa mbaya.Wanawake wengi wanakuwa wamewekeza ( muda, watoto, mali, emotions etc) kwenye ndoa..hivyo kuacha na kwenda kuanza tena upya ni risky.Wanasema bora shetani umjuaye kuliko malaika usiyemjua kabisa.
 
Sidhani hii inaweza kuwa sababu.... ukiongea na wenye kuwa kwenye situation kama hii watakuambia hata hiyo DK DK hawaitamani. Ni mfumo mzima ulivyo tu....haumpi mwanamke fursa za kuachana na ndoa mbaya.Wanawake wengi wanakuwa wamewekeza ( muda, watoto, mali, emotions etc) kwenye ndoa..hivyo kuacha na kwenda kuanza tena upya ni risky.Wanasema bora shetani umjuaye kuliko malaika usiyemjua kabisa.
naam!maneno mazito haya mkuu!infact hili sikulijua,sasa kwa mbaali naanza kupata picha
 
Sidhani hii inaweza kuwa sababu.... ukiongea na wenye kuwa kwenye situation kama hii watakuambia hata hiyo DK DK hawaitamani. Ni mfumo mzima ulivyo tu....haumpi mwanamke fursa za kuachana na ndoa mbaya.Wanawake wengi wanakuwa wamewekeza ( muda, watoto, mali, emotions etc) kwenye ndoa..hivyo kuacha na kwenda kuanza tena upya ni risky.Wanasema bora shetani umjuaye kuliko malaika usiyemjua kabisa.

Well, mimi nimesema kile ambacho nimeshawahi kuambiwa na baadhi ya akina dada. So I guess it is the case for some and may be not for others.

Mimi sijui dik dik ina power gani kwa akina dada coz I'm always on the delivering side of things and not the receiving side. Maybe you can shed the light on me from your side's perspective. Can it really (if it is good) make you be that blind and not see the abuse and all?
 
Well, mimi nimesema kile ambacho nimeshawahi kuambiwa na baadhi ya akina dada. So I guess it is the case for some and may be not for others.

Mimi sijui dik dik ina power gani kwa akina dada coz I'm always on the delivering side of things and not the receiving side. Maybe you can shed the light on me from your side's perspective. Can it really (if it is good) make you be that blind and not see the abuse and all?

hahahahah!let's take kwamba THE DELIVERING SIDE GETS VICTIMISED OF THE ABUSE AND ALL THAT!being the part of it,i hereby declare that I WON'T BE THAT MUCH BLIND!she will definetely go home.i will immediattely move on with my life.I am sure that i won't regret on my desicion!
 
rafiki yangu ananiambia jana mr wake amemcal anamwambia aende wakagawane mali/vitu walvyochuma pamoja, mdada akamwambia nimeondoka na nguo zangu na ndio za muhimu tu kila kilicho hapo ndani endelea nacho na maisha, rafiki yangu alikuwa mbioni kumalizia nyumba yake, so amehamia kwenye nyumba yake anasema ataimalizia akiwa ndani! anataka waongee kuhusu watoto tu.
 
rafiki yangu ananiambia jana mr wake amemcal anamwambia aende wakagawane mali/vitu walvyochuma pamoja, mdada akamwambia nimeondoka na nguo zangu na ndio za muhimu tu kila kilicho hapo ndani endelea nacho na maisha, rafiki yangu alikuwa mbioni kumalizia nyumba yake, so amehamia kwenye nyumba yake anasema ataimalizia akiwa ndani! anataka waongee kuhusu watoto tu.

...mnaona? ndio maana nilisema haya;

...asikudanganye mtu wala hakuna la kushauriana, kwanza hujasikia pre-nuptials weye? 'chetu' ni watoto tu, tena tukichafuana wanakuwa 'wake' au 'wangu'!... vilivyobaki either vyake au vyangu 😡
kwenye thread hii; https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/34924-my-car-our-car-kaazi-kweli.html
 
Mbu hapo juu mmaona nini? ulitaka iweje?
 
Mbu hapo juu mmaona nini? ulitaka iweje?

...swadakta, pitia kwa muhtasari maoni ya Maane hapa;

Hizi ndoa hasa za mnazoita za dot com ni balaaa. Hakuna kitu kibaya katika ndoa kama una hawara akajulikana kwa mwenzi wako. Matokeo yake ni kuharibu kila kitu mlichokisotea kwa miaka, say mipango ya pamoja ya maendeleo, malezi kwa watoto, mapenzi, uainifu, you name all. Mwisho wake kama suluhu haitapatikana mapema jua kuwa akina mama ni wajanja sana na watajitahadharisha kwa mengi ikiwemo kuwa na secret developments (assets- liquid and material)...

...No wonder kina mama wengi (wa kisasa) hawataki suluhu.
 
...No wonder kina mama wengi (wa kisasa) hawataki suluhu.


suluhu zinatafutwa zinashindikana, sasa mtu afanyaje?....mtu unajiweka makini kabla haijala kwako, sasa chukulia kama huyu frnd wangu leo hii angeenda wapi? na nyie ndio mnatufanya sie tuwe na akili hiyo mana unaona leo mambo ikiwa mbaya utaanzia wapi?.
 
ni rafiki yangu kipenzi, wamo ndoani mwaka wa 5 sasa, kuna cku frnd wetu mmoja alikuwa saloon, mdada wa saloon kama wanavyoeleweka tena wengi wao ni mapepe sana,akawa anapiga stori kwamba anatembea na mume wa mtu na makubaliano yao ni kwamba bao moja shs 30 elfu! ktk maongezi jamaa akamcal yupo hapo nje salon, huyo frnd wetu ktk kufatilia stori ikabidi na yeye ahamacke kumchungulia huyo jamaa anaezungumziwa, hamadi ni mr wa frnd wetu, akaja kutuelezea, cku nyingine wife akaenda mwenyewe pale saloon ktk kutengenezana nywele wife akamwambia yule mdada wa saloon" we c mjanja bwana unatembea na mume wangu kwa 30 elfu kwa bao lakini nakuhakikishia nitakuhamisha mji! ugomvi ukawa mkubwa mpaka watu wakaamulia, alivyorudi home mume akataka unyumba mke akamwambia mie kwangu ni laki kwa bao, mume akajua dili limebumburuka wakagombana vibaya na mume akakiri kweli alifanya hivyo na akaahidi kumwacha huyo kimada, baada ya muda kumbe wanaendelea na kimada, mke akashikwa na hacra na yeye akatafuta mtu wake nje, mapenzi yamekuwa moto moto, mke kanogewa na mume kashajua na anamfuataga huyo mkaka mara kibao kumletea fujo lakini mke amesema wateseke wote sio yeye tu, na unyumba ndani ndio mke hataki kumpa mpaka na yeye alipwe laki kwa bao, jana frnd ananical ananiambia wametengana na mr wake kwa kisa hiki mana mr wake anasema wife anamdharau na wife anasema "ulianza wewe mie namalizia"......nani wa kulaumiwa?......

mie nadhani mwenye tatizo ni huyo dada wa Saloon, kwani ameona kumegwa ni diiili kweli mpaka atangazie ulimwengu, mbona kumega na kumegwa ni jambo la kawaida, sasa kutangazia kadamnasi ndio nini, Mwambieni aache ulimbukeni, hayo ni mambo ya siri ndio maana tunjifungilia ndani, tunafunga madirisha na pazia zinashushwa na inapobidi hata taa huzimwa. Sasa unatmalizia shughuli unaenda kibarazani unaanza kuhadithia! pumbavu
 
Jamani hivi ndoa inajengwa na mwanamke pekeee??????? puuhh!

Nisaidieni, maana sielewii.

Makosa yote yatendwe na wanaume, mwanamke asamehe kila siku. Hivi hamjui kama mwanamke naye ana damu na nyongo!!!!. Mapenzi naye anahitaji vile vile, anajua kupenda na kupedwa.

Sina jibu nani yu sahihi ktk kesi hii, ila tutafakari kiubinadamu. Mtenda akitendewa... huwaje???

Tuheshimu wake zetu, tuwapende, kwani hao ndo walezi wetu kwa gharama yoyote, kwa shida na raha. Hao wapembeni wanakupenda kwa kuwa yupo anayekujali.

Akina baba, waume tutafakari hilo. Vinginevyo basi undeni sharia ili mbake wanawake wote. Lakini sidhani kuwa itawapa raha duniani.
 
Last edited:
Maadui wa ndoa, kwa mfululizo wa umuhimu;
  1. Wanandoa wenyewe
  2. Ndugu na marafiki wa karibu wa wanandoa
  3. Shetani
Kwa hapa, ni wanandoa wenyewe. Mmoja kamwaga mboga mwenzie akaamua kumwaga ugali. Wamefuata mioyo yao ilivyowatuma. Hakuna mwenye makosa
 
Jamani hivi ndoa inajengwa na mwanamke pekeee??????? puuhh!

Nisaidieni, maana sielewii.

Makosa yote yatendwe na wanaume, mwanamke asamehe kila siku. Hivi hamjui kama mwanamke naye ana damu na nyongo!!!!. Mapenzi naye anahitaji vile vile, anajua kupenda na kupedwa.

Sina jibu nani yu sahihi ktk kesi hii, ila tutafakari kiubinadamu. Mtenda akitendewa... huwaje???

Tuheshimu wake zetu, tuwapende, kwani hao ndo walezi wetu kwa gharama yoyote, kwa shida na raha. Hao wapembeni wanakupenda kwa kuwa yupo anayekujali.

Akina baba, waume tutafakari hilo. Vinginevyo basi undeni sharia ili mbake wanawake wote. Lakini sidhani kuwa itawapa raha duniani.

nimeipenda hii....
Mwanaume akachakure hukooooo...
Ila ndoa ailinde mke....
Inaudhi sana
 
Mara nyingi tunashindwa kujua kwamba hatua zinazochukuliwa baada ya kugundua tatizo ndizo za mhimu kuzingatiwa kuliko tatizo lenyewe. Kwa mfano tatizo ni mtoto kavunja kikombe, halafu baba/mama unachukua hatua ya kumpiga hadi kunvuja mkono.....are you solving or adding the problem????
Kwa jamii hii tuliyopo, huyo dada lazima alaumiwe.
 
Back
Top Bottom