Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,236
- Thread starter
- #41
Nafasi bado ipo tuendelee kuleta majina mapya
Nafasi yake ya ushauri ina maana gani ikiwa kama hana analoweza kubadilisha ?Serikali nzima inahusika, wadau mbalimbali wanahusika, vyama vya upinzani vinahusika, mashirika binafsi n.k
Uhusika wa AG ni kuishauri serikali kuhusu masuala yote ya sheria, lakini yeye hatungi sheria.
Pia hana kura ndani ya Baraza la Mawaziri hivyo maamuzi siyo yake.
Utamteua weweAliambiwa na Magu atulie atapewa kazi ya kufanya, kwa ujinga wake na kutokuona mbali akakimbia nchi; mtu mjinga namna hiyo atateuliwa na nani?
😆😆😆Utamteua wewe
Sehemu gani duniani mwanasheria mkuu ana mamlaka ya zaidi ya kutoa ushauri kwa serikali ???Nafasi yake ya ushauri ina maana gani ikiwa kama hana analoweza kubadilisha ?
Angekuwa na akili timamu ningemteuaUtamteua wewe
Ha ha ha, hatari.Kifo cha Magu.....
Minyumbu inadhani inakaribia kutawala nchi inasahau ya kwamba CCM ni ile ile.....inapanga kabisa eti Lissu mwanasheria mkuu !!???
are you mad?
😆😆😆😆Kwani umeambiwa Mwanasheria mkuu amefukuzwa, akili za nyumbxxxxx ni ujinga mtupu, wanatengeneza imaginary tatizo wenyewe halafu wanaaanza kujiongelesha wenyewe tena.