Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,105
Kwa miaka yote tumeona Mwanasheria Mkuu akiwa ndio ofisa wa Kwanza kuteuliwa , na baadaye ndiyo baraza la mawaziri hufuatia , sijafahamu sheria za nchi zinataka AG ateuliwe baada ya muda gani tangu kuapishwa kwa Rais mpya .
Sasa kwa vile bado hajateuliwa basi ni vema wadau mkapata wasaa wa kupendekeza majina mawili matatu ya wanasheria nguli mnaodhani wanaweza kufaa kupewa nafasi hiyo ili pamoja na mambo mengine wasaidie kufutilia mbali sheria kandamizi zilizopitishwa katika awamu iliyopita .
Natanguliza Shukrani
Sasa kwa vile bado hajateuliwa basi ni vema wadau mkapata wasaa wa kupendekeza majina mawili matatu ya wanasheria nguli mnaodhani wanaweza kufaa kupewa nafasi hiyo ili pamoja na mambo mengine wasaidie kufutilia mbali sheria kandamizi zilizopitishwa katika awamu iliyopita .
Natanguliza Shukrani