Nani unamkubali sana JF?

Nani unamkubali sana JF?

Karibu sana JF...

Uliza chochote utapata jibu mkuu...

Asanteh Mkuu.
Mi yanii ni mgeni..sijui hata hizo pm napata wapi, na jinsi ya kuanzisha Uzi sijajua badoo...sometimes nalog in nakosa cha kucomment naona is like no one cares...duuh, kwakweli sikutegemea but hope ntapata wenyeji soon. Thanks again
 
Last edited by a moderator:
Asanteh Mkuu.
Mi yanii ni mgeni..sijui hata hizo pm napata wapi, na jinsi ya kuanzisha Uzi sijajua badoo...sometimes nalog in nakosa cha kucomment naona is like no one cares...duuh, kwakweli sikutegemea but hope ntapata wenyeji soon. Thanks again

Taratibu utajifunza...

Kama unatumia JF katika kompyuta basi ni rahisi zaidi kuijua JF...

PM ni kifupi cha "Private Message" hivyo ni njia ya mawasiliano baina ya watumiaji wa JF na hushahabiana na mtindo kama wa email...

Hivyo utapoperuzi JF na ukiona neno Private Message au Send private message basi ujue hicho ndio kiunganishi cha kuelekea PM...

Zaidi kuanzisha uzi kiunganishi cha "New Topic" hutumia. Ukiingia ukurasa wa mbele wa jukwaa lolote huwa kuna kitufe chenye kubeba maneno hayo.

Ukibofya hapo basi utapelekwa moja kwa moja sehemu ya kuandika unachota kuueleza umma...
 
Taratibu utajifunza...

Kama unatumia JF katika kompyuta basi ni rahisi zaidi kuijua JF...

PM ni kifupi cha "Private Message" hivyo ni njia ya mawasiliano baina ya watumiaji wa JF na hushahabiana na mtindo kama wa email...

Hivyo utapoperuzi JF na ukiona neno Private Message au Send private message basi ujue hicho ndio kiunganishi cha kuelekea PM...

Asanteh...mi natumia simu. Hicho kiunganishi cha PM nimekiona ila sijajua nakitumiaje kwakweli.
 
Ili iweje sasa? ImageUploadedByJamiiForums1427580476.129593.jpg
 
Asanteh...mi natumia simu. Hicho kiunganishi cha PM nimekiona ila sijajua nakitumiaje kwakweli.

Njia nyepesi ni kwenda kwenye ukurasa wa mtu unayetaka kumtumia PM...

Huko utaona maandishi "Send private message" na ukiyabofya hayo basi utapelekwa mahali pa kuandika PM kwenda kwa muhusika huyo...
 
Ila kuna jitu linaitwa Ryan ritz nikija kukutana nalo ntalichanachana na viwembe... Ova
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mambo yapo poa , umepotea sana bro . Huyo jamaa ana matatizo anatuona watoto eti hana Ids nyingi. Mkuu Excel pamoja sana bro.

Excel Nitake radhi kwa kunivujia heshima mkuu nakuniambia nina id nyingi humu ndani?
 
Last edited by a moderator:
Asanteh...mi natumia simu. Hicho kiunganishi cha PM nimekiona ila sijajua nakitumiaje kwakweli.

usiwe na shaka Donjama hata mimi natumia jf mobile na nilianza kujifunza pole pole na mpaka sasa naendelea kujifunza kupitia member wa jf.
Hata kama unatumia simu,mwisho wa siku utakuwa na ujuzi wa kumention mtu kama Donjama ,umeona jinsi jina lako lilivyotokea,ukiclick hapo kwenye jina lako profile yako inafunguka.
Pia kupitia simu,utaweka kuweka maandishi yako rangi kama ifuatavyo
[COLOR=]Donjama akaribishwa na wanachita chat,apata makaribisho ya nguvu[/COLOR] ,Hii siyo computer bali nimetumia simu tu,tenda ambayo siyo smartphone.
Pia utaweza kuona uzuri wa Jf kwamba hata uwe na simu utaweza kupiga maneno yako mstari kwa mfano Donjama atamani kujifunza mengi ,hivyo ni wewe tu kuwa ukiendelea kujua taratibu.
 
Last edited by a moderator:
usiwe na shaka Donjama hata mimi natumia jf mobile na nilianza kujifunza pole pole na mpaka sasa naendelea kujifunza kupitia member wa jf.
Hata kama unatumia simu,mwisho wa siku utakuwa na ujuzi wa kumention mtu kama Donjama ,umeona jinsi jina lako lilivyotokea,ukiclick hapo kwenye jina lako profile yako inafunguka.
Pia kupitia simu,utaweka kuweka maandishi yako rangi kama ifuatavyo
[COLOR=]Donjama akaribishwa na wanachita chat,apata makaribisho ya nguvu[/COLOR] ,Hii siyo computer bali nimetumia simu tu,tenda ambayo siyo smartphone.
Pia utaweza kuona uzuri wa Jf kwamba hata uwe na simu utaweza kupiga maneno yako mstari kwa mfano Donjama atamani kujifunza mengi ,hivyo ni wewe tu kuwa ukiendelea kujua taratibu.

kwenye rangi nimesahau kidogo code moja ndio maana maandishi hayana rangi.
Ila rahisi kama vile unanawa ,karibu jf.
 
Last edited by a moderator:
Acha kutupumzikia mkuu bora yaishe vinginevo utaumbuka ukiendelea una IDs zaidi ya nne. You better shut up.
Excel Nitake radhi kwa kunivujia heshima mkuu nakuniambia nina id nyingi humu ndani?
 
Last edited by a moderator:
Taratibu utajifunza...

Kama unatumia JF katika kompyuta basi ni rahisi zaidi kuijua JF...

PM ni kifupi cha "Private Message" hivyo ni njia ya mawasiliano baina ya watumiaji wa JF na hushahabiana na mtindo kama wa email...

Hivyo utapoperuzi JF na ukiona neno Private Message au Send private message basi ujue hicho ndio kiunganishi cha kuelekea PM...

Zaidi kuanzisha uzi kiunganishi cha "New Topic" hutumia. Ukiingia ukurasa wa mbele wa jukwaa lolote huwa kuna kitufe chenye kubeba maneno hayo.

Ukibofya hapo basi utapelekwa moja kwa moja sehemu ya kuandika unachota kuueleza umma...

Embu mtumie pm!!!!!!
practical muhimu sana.
Cc Donjama
 
Last edited by a moderator:
Kumbe huwa wapita pande hizi pia eenh!!!

Wewe ni mmoja kati ya wachache JF ambao mtu anaweza kujifunza kitu kwako...

Nakukubali sana mchaga wewe!!!

He! kumbe lara 1 moko ni dada yangu.... ngoja kwanza..... kuanzia leo.... OLE WAO!!!!
 
Last edited by a moderator:
Excel Nitake radhi kwa kunivujia heshima mkuu nakuniambia nina id nyingi humu ndani?
Hivi unaelewa ulichoandika hapa mkuu SL?

Hebu fanya usogee sogee kidogo mjini ujue kutofautisha kati ya X na kuzidisha!

Una quote mtu mwingine halafu unaita mwingine akutake radhi? SL umekunywa nini?

Pombe za kisukuma nazo bhana! dah....
 
Back
Top Bottom