Nani mwimbaji bora wa Gospo wa mda wote Tanzania?

Ingawa napenda sana nyimbo za Christina Shusho hakuna ubiahi kuwa Rose Muhando ndiye malkia halali wa nyimbo za injili siyo Tanzania tu bali ukanda wote wa Afrika Mashariki na kati.
 
Tangu utoto nimesikia sifa za jina la yesuu!anatukuka sanaa!
Jina lake ni kubwa sana yeeeye!,tunatangaza kubwa mungu wanguu!bwanaah bwanaah bwanaah bwanaah,bwanaah bwanaah atukuzwe bwanaah iyooo

Namkubali sana huyu MARTHA BARAKA
 
Nani anaweza imba sifa zake akamaliza bwanaah!,naani??aimbe sifa zake amalize zoote!!yeye ni kisimaa cha maji ya uzimaa,yeye ni mungu,mungu mwenye akili
 
St. Joseph Arusha ni hatari, Watu8 amefunga orodha, ila kuna Ulyankulu wengine inaitwa mapigano kama sikosei, waliimba Mwenye Mamlaka. Hawa watu walikua wanaimba neno ndio maana nyimbo zao hazitakaa zichuje wala kuchosha kusikiliza...

Mkuu Ulyankulu barabara ya 13 ndio hao hao Mapigano...

Waliimba nyimbo nyingi ikiwepo hiyo Mwenye Mamlaka, Sisi ni barua, Samson n.k...

Nyimbo zao hadi leo nazisikiza...
 
Wewe umenena hadi nimefurahi. Na wale Shangilieni wa St. Joseph Arusha alikotokea Beatrice Mhone

AIC Shinyanga pia...

Mkuu ulivyowataja Shangilieni hadi mwili umesisimuka...

"Dunia shangilieni nuru imewaangazia...

Katika mji wa Daudi Kristo Yesu amezaliwa...

Tazama kwa ajili yenu...

Mtoto amezaliwa...

Kauacha utukufu...

Ili atuokoe...

Jamani....

Shangweeee..

Shangilieni..."


Hahah yaani naweza nikauandika wimbo wote...

Nakumbuka tu redio kaseti hapo ni mwendo wa kufoward na kurewind kaseti kwa kutumia biki...
 
CHRISTINA SHUSHO is the Best Gospel Singer in the country. Na ukitaka kujua Shusho anakubalika na anapendwa nenda nchi za jirani kama Kenya, Rwanda, Burundi na Congo DRC uone anavyokubalika. Cheki video zake zilivyo tofauti kwani ni za quality ya juu kuliko mwimba mwingine yeyote hapa Tanzania.

Kwa kifupi, she is the best singer at the moment.
Ameen and Ameen!! Huyu dada ana kipaji. Ule wimbo wake wa "Ushirika na Wewe" umenikaa kichwani toka jana.
 
Kile kibao kilinigusa sana. Albam ipo mtandaoni unaweza ukaipakua kama umeshaipoteza
Nilinunua CD yake majuzi kati sijui imepotelea wapi, jamaa wale saa hizi ni watu wazima miili hiyo walihojiwa siku moja na yule jamaa wa gospel wa TBC na huwezi amini asilimia kubwa wapo kanisa lilelile maana kwa mazingira ya sasa ya upambanaji unakuta huyu alihamia kule katika kutafuta akaamua kusali maeneo ya kwao nakadhalika
 
AIC Shinyanga pia...

Mkuu ulivyowataja Shangilieni hadi mwili umesisimuka...

"Dunia shangilieni nuru imewaangazia...

Katika mji wa Daudi Kristo Yesu amezaliwa...

Tazama kwa ajili yenu...

Mtoto amezaliwa...

Kauacha utukufu...

Ili atuokoe...

Jamani....

Shangweeee..

Shangilieni..."


Hahah yaani naweza nikauandika wimbo wote...

Nakumbuka tu redio kaseti hapo ni mwendo wa kufoward na kurewind kaseti kwa kutumia biki...[/QUOTE Watu8 kumbe na wewe umo, kiukweli nyimbo zile zilikuwa zinakosha, unajua zilikuwa zinakosha kiasi kwamba kwa wakristo wachanga kama sisi unakuta unapata mafundisho na visa za kwenye biblia.

Ila Shusho na Upendo Nkone ni kiboka maana pamoja na kwamba hawaimbi zile nyimbo za kutumbuiza (entertaining) za kuruka huku na kule lakini bado wakiimba unawasikiliza mpaka mwisho
 
Last edited by a moderator:
Tangu utoto nimesikia sifa za jina la yesuu!anatukuka sanaa!
Jina lake ni kubwa sana yeeeye!,tunatangaza kubwa mungu wanguu!bwanaah bwanaah bwanaah bwanaah,bwanaah bwanaah atukuzwe bwanaah iyooo

Namkubali sana huyu MARTHA BARAKA

Anamkopi sana Rose Muhando! Rose ndo kiboko ya mjini. Hata km watu wanamwita mapepe, she is the BEST!
 
AIC Shinyanga pia...

Mkuu ulivyowataja Shangilieni hadi mwili umesisimuka...

"Dunia shangilieni nuru imewaangazia...

Katika mji wa Daudi Kristo Yesu amezaliwa...

Tazama kwa ajili yenu...

Mtoto amezaliwa...

Kauacha utukufu...

Ili atuokoe...

Jamani....

Shangweeee..

Shangilieni..."


Hahah yaani naweza nikauandika wimbo wote...

Nakumbuka tu redio kaseti hapo ni mwendo wa kufoward na kurewind kaseti kwa kutumia biki...

  • Watu8 kumbe na wewe umo, kiukweli nyimbo zile zilikuwa zinakosha, unajua zilikuwa zinakosha kiasi kwamba kwa wakristo wachanga kama sisi unakuta unapata mafundisho na visa za kwenye biblia.

    Ila Shusho na Upendo Nkone ni kiboka maana pamoja na kwamba hawaimbi zile nyimbo za kutumbuiza (entertaining) za kuruka huku na kule lakini bado wakiimba unawasikiliza mpaka mwisho​



 
Back
Top Bottom