Shusho,mwanamke mzuri sana,huwa nikiwa naangalia video zake,nakua sielewi anachoimba,zaidi ya kuutafakari uumbaji wa MUUMBA.Ana sura nzuri,body structure nzuri,hakika ni mzuri.Ni ngumu kuwa na jina moja kwenye maeneo yote.
Sifa-rose muhando
Kuabudu-sedekia
Faraja-ambwene
Modern gospel-shusho
Kwahyo mzee wewe unaangalia uumbaji tuShusho,mwanamke mzuri sana,huwa nikiwa naangalia video zake,nakua sielewi anachoimba,zaidi ya kuutafakari uumbaji wa MUUMBA.Ana sura nzuri,body structure nzuri,hakika ni mzuri.
Kwa wanaume Fanuel Sedekia hana mpinzaniKwa wanawake shusho kwa wakiume sina jibu ila new school gosper singer the best for men ni joel lwaga haya ni maoni yangu binafsi jamaa anajua kuimba
injili ipi mkuuRose Muhando? Bahati Bukuku? Christina Shusho? Bonny Mwaitege? Upendo Nkone? Jennifer Mgendi? Beatrice Muhone? Ambwene Mwasongwe? Martha Mwaipaja? Flora Mbasha?.............
ShushoRose Muhando? Bahati Bukuku? Christina Shusho? Bonny Mwaitege? Upendo Nkone? Jennifer Mgendi? Beatrice Muhone? Ambwene Mwasongwe? Martha Mwaipaja? Flora Mbasha?.............
Weka vizuri mkuu, hiyo kila kitu. Hapo!Huyu Shusho anafunika aisee kabarikiwa kila kitu