Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 887
- 4,133
Nimeona tamko la Nape, nikajiuliza yeye anayo mamlaka yakutoa tangazo kama lile?
Kwanini kukamatwa na kuwekwa mahabusu watuhumiwa iwe jukumu la Nape kutangaza?
Mfumo wa serikali upo vipi?
Kwanini kukamatwa na kuwekwa mahabusu watuhumiwa iwe jukumu la Nape kutangaza?
Mfumo wa serikali upo vipi?