Nani Muongo kati ya Msemaji wa Serikali na Rais wa TUCTA?

F4B

JF-Expert Member
Jan 13, 2022
325
416
Nani anaundanganya Umma wa Tanzania au Watumishi wa umma wa nchi hii? Msemaji wa serikali anasema wamewapa viongozi wa TUCTA muda wakajadiliane.

Wakati huo huo Rais wa TUCTA anasema wameipa serikali muda ije na majibu kwanini nyongeza ya mshahara imekuwa tofauti.

Kwa vyovyote vile kati ya TUCTA na serikali upande mmoja unawadanganya wafanyakazi wa nchi hii.
 
Ila huu utapeli waliofanyiwa wafanyakazi ni wa kiwango cha juu. Off course kima cha chini wamefaidika kwa ongezeko la 23.3 %... Ila kumuongezea mtu mshahara kwa Tsh 20 K ni dharau. Yaani nyongeza haitoshi hata kununua piza. Bora wange endelea kubaki na visingizio vya uchumi wa dunia umeharibika kwa sababu ya Cov 19 na vita vya Ukraine.
 
TUCTA ni tawi la serikali controlled by GSO, hivyo basi hapo hakuna muongo hapo, kila mmoja ametimiza wajibu wake.
 
Nani anaundanganya Umma wa Tanzania au Watumishi wa umma wa nchi hii? Msemaji wa serikali anasema wamewapa viongozi wa TUCTA muda wakajadiliane.Wakati huo huo Rais wa TUCTA anasema wameipa serikali muda ije na majibu kwa nini nyongeza ya mshahara imekuwa tofauti. Kwa vyovyote vile kati ya TUCTA na serikali upande mmoja unawadanganya wafanyakazi wa nchi hii.
Mwongo ni Rais wa TUCTA. Hata lugha ya mwili wake inamsuta. Serikali imekwenda na majibu tayari na haitabadilika. Yeye anasema wameipa muda ije na majibu, majibu gani wakati tayari wanayo?

Wafanyakazi wanaongozwa na Afisa Kipenyo Nyamhokya halafu wanajiona wanatetewa? Nyamuhokya anafanya kazi wapi? Si yuko serikali kuu? Chini ya RAS?

TUCTA ilipokuwa inaongozwa na wafanyakazi halisi ilikuwa na nguvu siyo sasa inaongozwa na Watumishi
 
Mwongo ni Rais wa TUCTA. Hata lugha ya mwili wake inamsuta. Serikali imekwenda na majibu tayari na haitabadilika. Yeye anasema wameipa muda ije na majibu, majibu gani wakati tayari wanayo?...
Nyamhokya anataka 23.3% iongezeke kwa mishahara yote kama ilivyofanyika miaka ya nyuma.

Huu ni Uwongo wa Mchana, mishahara huwa haipandi yote kwa rate moja
 
Mwongo ni Rais wa TUCTA. Hata lugha ya mwili wake inamsuta. Serikali imekwenda na majibu tayari na haitabadilika. Yeye anasema wameipa muda ije na majibu, majibu gani wakati tayari wanayo? Wafanyakazi wanaongozwa na Afisa Kipenyo Nyamhokya halafu wanajiona wanatetewa? Nyamuhokya anafanya kazi wapi? Si yuko serikali kuu? Chini ya RAS? TUCTA ilipokuwa inaongozwa na wafanyakazi halisi ilikuwa na nguvu siyo sasa inaongozwa na Watumishi
Tucta ilikuwa ile ya Mgaya, JK hawezi kuisahau.

South Africa usipoenda sawa na shirikisho la vyama vya wafanyakazi imekula kwako, wako powerful na hakuna mamluki.
 
Tucta na serikali ni kama chupa na mfuniko
20220722_062544.jpg
 
Mtoa mada unauliza swali gani hilo hapo hakuna aliyedanganya wote wanaisemea serkali na wote ni chawa wa CCM
 
Kwa mfano mtu mshahara wako ni milioni 1, halaf ukaambiwa kuna nyongeza ya 23.3% maana yake kwa mahesabu ya haraka inatakiwa upewe nyongeza ya sh 223,000/= lakin mwisho wa siku unapewa 8,000/= hizo si ni madharau makubwa sana. Kuna haja ya kumjua muongo hapo?
 
Nani anaundanganya Umma wa Tanzania au Watumishi wa umma wa nchi hii? Msemaji wa serikali anasema wamewapa viongozi wa TUCTA muda wakajadiliane...
Viongozi wa serikali ni waongo na viongozi wa TUCTA ni waongo, Tanzania tunapenda sana uongo, anayekopeshwa muongo na anayekopesha muongo.
 
Nyamhokya anataka 23.3% iongezeke kwa mishahara yote kama ilivyofanyika miaka ya nyuma.

Huu ni Uwongo wa Mchana, mishahara huwa haipandi yote kwa rate moja
Nashangaa mleta mada ameshindwa kumjua muongo moja Kwa moja. Wafanyakazi Wana hasara kama wataendelea kumuamini Wakala wa Ibilisi Nyamuhokya.
 
Tucta ilikuwa ile ya Mgaya, JK hawezi kuisahau.

South Africa usipoenda sawa na shirikisho la vyama vya wafanyakazi imekula kwako, wako powerful na hakuna mamluki.
Uko sahihi kabisa. Tucta ni shirikisho la vyama vya Wafanyakazi, na Nyamuhokya si sehemu ya Wafanyakazi ni sehemu ya waajiri maana RAS ni mwajiri na yeye ni msaidizi wa RAS. Ni Sawa na kumsikiliza Majaliwa anasema Wafanyakazi wenzangu.
 
Uko sahihi kabisa. Tucta ni shirikisho la vyama vya Wafanyakazi, na Nyamuhokya si sehemu ya Wafanyakazi ni sehemu ya waajiri maana RAS ni mwajiri na yeye ni msaidizi wa RAS. Ni Sawa na kumsikiliza Majaliwa anasema Wafanyakazi wenzangu.
Hatari sana
 
Back
Top Bottom