Maguguniga
Member
- Apr 14, 2012
- 35
- 8
TBL kupitia bia yao ya KILIMANJARO imeleta hili shindano, mil 100 zimetengwa kushindaniwa na Simba na Yanga, kushiriki nunua bia hiyo angalia kizibo tuma sms yenye jina la timu na namba zilizopo kwenye kizibo. kwa matokeo ya karibuni Yanga anaongoza, swari langu hapo je Yanga ndo walevi kuliko Simba?
wadau na wanamichezo naombeni jibu.
wadau na wanamichezo naombeni jibu.