Nani Mkubwa kati ya Mkuu wa Majeshi na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa?

Wakuu hope mko poa

Naomba kuuliza ni nani, Ni mkubwa, lakini pia nani anajua Siri nyingi, lakini pia nani yupo karibu mno na raisi Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa(DGIS)

Karibu mtujuze mnaojua
Kila mmoja na nafasi yake, na majukumu yake kwa taifa.
 
Mlinzi hawezi kumiliki nyumba, japo umempa mamlaka ya kulinda kufuli lako unapokuwa umelala, ramani ya nyumba yako unaijua wewe, taarifa za familia yako unazo wewe, mpaka taarifa za idadi ya hao wanaokulindia nyumba yako unazo wewe,

ndio inafikia hatua ukihisi Ulinzi wa mwenye kichwa Cha familia hautoshi wewe ndio unaetafuta mlinzi wa kuongeza nguvu na kuimarisha Hali ya usalama,

Kuna wakati unawaambia walinzi wako wawatrain watoto wako, Kuna wakati unawapa heshima walinzi wa nyumba yako ili tu uwe salama na walinde wajua kuwa wao ndio wenye mamlaka ya geti, lakini haimaanishi wao ndio wajuzi sana isipokuwa mamlaka ya wanayoyafanya Ni Mali yako wewe, ilitakiwa uilinde familia yako mwenyewe, wao wanakuwakilisha tu..ukiamua kuwabadili pia unaweza.

Tembelea hata ferry, mlinzi ana mamlaka kuliko hata meneja pale wakati hata taarifa tu za makusanyo ya siku hajui, lakini akikaa getini unaweza kuhisi yeye ndio mnunuzi wa kivuko.
Genius
 
Kwa hiyo hao wanaopinduaga hua hamna watu wa usalama
wewe undani hizo nchi unazosikia jeshi limepindia,watu wa usalama wanakua hawajui?na kama walikua wanajua unadhani wanakua wameshindwa kuzuia?rejea mapinduzi yaliotaka kufanywa kipindi cha nyerere.ni nani walizuia mapinduzi hayo yasifanikiwe?
 
Back
Top Bottom