Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,188
- 10,914
Kila mmoja na nafasi yake, na majukumu yake kwa taifa.Wakuu hope mko poa
Naomba kuuliza ni nani, Ni mkubwa, lakini pia nani anajua Siri nyingi, lakini pia nani yupo karibu mno na raisi Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa(DGIS)
Karibu mtujuze mnaojua