Nani kiranja wa hili jumba?

Nani kiranja wa hili jumba?

Wale wote walioivuruga CC mpaka hakuna ndoa zinazofungwa tena na za zamani nyingi kuvunjika wasipewe nafasi tena
 
Hili jukwaa linahitaji mnoko, mzandiki, mfitini, mwehumwehu, kichaa, kikongwe etc. Hvyo Nampendekeza FaizaFoxy

Hahahaaaa server zitajaa ban na mods watakuwa na kazi kweli kweli
 
Last edited by a moderator:
khaaaaa.....kama mnaanzisha shule bhasii ikifika time ya wasamiji na wataka top layer za vyakula niiiteni ....na funguo za madraka ninazo kibao.
hawa viranja waacheni tu
 
Monita wa darasa nani? mwalimu anataka majina ya wasumbufu
 
Back
Top Bottom