Mapi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 6,848
- 2,741
yashaandikwa na la kwako limo
ntakutana na monita bonde la damu
yashaandikwa na la kwako limo
ntakutana na monita bonde la damu
Mie naomba kuwa table leader.....lol
Tabora school nini???
Hapana
unampenda sana husninyo eeeh?
Sawa boss misschagga
khaaaaa.....kama mnaanzisha shule bhasii ikifika time ya wasamiji na wataka top layer za vyakula niiiteni ....na funguo za madraka ninazo kibao.
hawa viranja waacheni tu
Kumekucha huku mzabzab, KakaJambazi, OKW BOBAN SUNZU, Madame B, THE BIG SHOW, kilambalambila, Red Scorpion nyumbakubwa....kujeni huku mchague kilanja,