Nani kiranja wa hili jumba?

Nani kiranja wa hili jumba?

Tee Bag

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
7,220
Reaction score
5,626
Heshima kwenu wakuu

Napenda kutanguliza shukran kwa member wote wa MMU. Hill jumba limepanuka sana kama sio kukua. Na mnapo kua kundi la watu haina budi kua na kiongozi. Mapendekezo yangu tuchague kiranja wa MMU. Kuna member kwa hekima sao zao napenda kuwapendekeza.

The Boss : huyu member anahekima sana kwenye ku-comment na hakosekani takribani kwa kila siku. Ila udhaifu wake hua anatumia maneno magumu lakin ni muwazi. Huyu anafaa kua kiranja.

Evelyn Salt: huyu ijapokua ana majigambo na kujisifia lakini ana hekima anafaa kua msaidizi was kiranja was MMU yaani msaidizi was The Boss

Excel : mkuu heshima kwako napenda sana comment zako, pamoja na hekima ulizo nazo nafasi hii unaimudu. Kua kiranja wa hili jumba

MankaM: huyu napenda awe msaidizi wa Mr Excel kwa hiyo basis kura ni kati ya

The Boss , Evelyn Salt Vs Excel, MankaM

Nadhan wapo Wengi wanaoweza kuliongoza jumba hili, unawza kupendekeza jina la kiranja na msaidizi wake
NB: zingatia usawa wa kijinsia

Nawakilisha
 
wengine tumezoea kwenda kwenda hovyo hovyo kama kuku wa kienyeji...ukiranja tena wa nini??
 
babaV anakula pension ya mapenzi baada ya kuvunja ndoa nyingi.
afikishiwe taarifa tafadhali
 
Last edited by a moderator:
The Boss ni mnoko sana Bana.
Bora kiranja mkuu awe sleki sleki kama Mentor angalau adhabu kichura chura hazitakuwepo kwa sisi watoro wa Jukwaa.
Husninyo awe Dada Mkuu.

Ndo sifa gani hizo umenipa mkuu. Anyway naomba u prefect wa michezo.
 
Last edited by a moderator:
Usihangaike Kiranja Mkuu nipo hapa kimyaaaaa nawaangalia tu!
 
Ndo sifa gani hizo umenipa mkuu. Anyway naomba u prefect wa michezo.
Nimekupa sifa kuwa wewe siyo Mnoko Mkuu.. Pata picha The Boss ndo Kiranja Mkuu, patakalika kweli humu?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom