MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,727
- 37,028
Kwa hasira sana natafakari ni kwanini tume block uwezo wetu wa kufikiri.
Kwanini tuna kariri ni lazima tuwe na ma-vyama ya kichawa- chawa na wanasiasa- waongo waongo ndiyo watuongozee nchi yetu
Sehemu nyingine wanakua na familia fulani inawatawala bila ukomo, ata kama hao watu ni ma-kenge au matahaira.
Mimi nasema hivi, sioni ufanisi wowote wa kuendesha nchi kwa mitindo hiyo ya kale.
Nataka, tutafakari model za uongozi za kisasa,
Tunaona makampuni makubwa yenye mafanikio na ufanisi mkubwa sana. Kwanini tusiiweke nchi yetu kwenye hiyo mifumo.
Kuna watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri watabisha.
Kwanini tuna kariri ni lazima tuwe na ma-vyama ya kichawa- chawa na wanasiasa- waongo waongo ndiyo watuongozee nchi yetu
Sehemu nyingine wanakua na familia fulani inawatawala bila ukomo, ata kama hao watu ni ma-kenge au matahaira.
Mimi nasema hivi, sioni ufanisi wowote wa kuendesha nchi kwa mitindo hiyo ya kale.
Nataka, tutafakari model za uongozi za kisasa,
Tunaona makampuni makubwa yenye mafanikio na ufanisi mkubwa sana. Kwanini tusiiweke nchi yetu kwenye hiyo mifumo.
Kuna watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri watabisha.