Anataka kusema tulikuwa hatupati chakula cha kutosha kwasabb ya ukosefu wa mito?
Mito yooote iliyosambaa kila kona nchi hii imeshindwa kutupatia chakula kwasabb gan? Na je, hizo sababu zimepatiwa ufumbuzi?
Hahaha! Analeta ngonjera zile zile za gesi ya Mtwara. Walidai Mtwara itakuwa kama Dubai. Lkn mpk leo Mtwara inazidi kufa kiuchumi.
Analeta ngonjera zile zile za Kilimo Kwanza....mpk leo hatuna kilimo chochote.
Analeta ngonjera zile zile za Matokeo Makubwa Sasa (MMS) au kwa kinyamwezi Big Results Now ((BRN)....lkn mpk leo hatuna matokeo yoyote.
Hata bwawa la Nyerere nawahakikishia hakuna kitu hapo!
Mdudu mbaya nchi hii ni CCM.
