Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Waungwana salamu,
Kuna thread moja huko kuna mjadala umezuka na ndani ya thread yenye topic tofauti kabisa. Nimeona niuweke hapa mjadala ili ujadiliwe kwa kina kama itaonekana inafaa.
Kuna huu msemo: Nani Kama mama? Au hakuna kama mama........Hakuna anayebishana na msemo huu. Mama acheni aendelee kuitwa mama. Anastahili. Ni msemo unaompa heshima mama.
Shida imetokea pale babu nilipohoji: Hivi kuna aliye kama baba? Wajukuu zangu wamenishambulia na hoja yao ya msingi ni kuwa majukumu ya baba anaweza akapewa mtu yoyote yule na akayamudu. Hastahili kupewa heshima ya "NANI KAMA BABA" Sijajua ni majukumu gani wanayoyashikilia ambayo hata baba asipokuwepo haijalishi.....kulea? kujali? kusomesha? ku nini sasa?
Eti ni kweli baba hana umuhimu huo na wala hastahili kupewa heshima ya "Nani kama baba"?
Babu leo siendi ofu topic kabisa, niko kimaadili.....Kama Matesha wangu haoni sababu ya kunipa heshima ya "Nani kama ODM Asprin".......Mi ntakuwa simwelewi kwakuwa kwangu Mimi Hakuna kama baba yangu mmzee Ng'maryo.
ODM anaomba msaada waungwana
Babu anarudi kitandani.
Kuna thread moja huko kuna mjadala umezuka na ndani ya thread yenye topic tofauti kabisa. Nimeona niuweke hapa mjadala ili ujadiliwe kwa kina kama itaonekana inafaa.
Kuna huu msemo: Nani Kama mama? Au hakuna kama mama........Hakuna anayebishana na msemo huu. Mama acheni aendelee kuitwa mama. Anastahili. Ni msemo unaompa heshima mama.
Shida imetokea pale babu nilipohoji: Hivi kuna aliye kama baba? Wajukuu zangu wamenishambulia na hoja yao ya msingi ni kuwa majukumu ya baba anaweza akapewa mtu yoyote yule na akayamudu. Hastahili kupewa heshima ya "NANI KAMA BABA" Sijajua ni majukumu gani wanayoyashikilia ambayo hata baba asipokuwepo haijalishi.....kulea? kujali? kusomesha? ku nini sasa?
Eti ni kweli baba hana umuhimu huo na wala hastahili kupewa heshima ya "Nani kama baba"?
Babu leo siendi ofu topic kabisa, niko kimaadili.....Kama Matesha wangu haoni sababu ya kunipa heshima ya "Nani kama ODM Asprin".......Mi ntakuwa simwelewi kwakuwa kwangu Mimi Hakuna kama baba yangu mmzee Ng'maryo.
ODM anaomba msaada waungwana
Babu anarudi kitandani.