Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,865
- 103,892
Sawa, bc furahieni kazi ya mama yenuAlifanya kazi kama rais dikteta
Sawa, bc furahieni kazi ya mama yenuAlifanya kazi kama rais dikteta
Koma, mama yangu anaitwa mama Lamomy tu.Sawa, bc furahieni kazi ya mama yenu
AiseeHamna akili nyie wehu, mnatetea msichokijua kwasababu mnalipwa vipesa vichache lkn watumishi wameshajua hakuna serikali kwa sasa, magari ya umma yanapaki tu gesti na hakuna shida yoyote mana hakuna serikali kwa sasa, ila wendaazimu kama nyie mnatetea tu ujinga.View attachment 3522382View attachment 3522383
Tofauti yake na Samia ni 18% au 14%? (84% kwa 98%)!Ukweli ni kwamba kamwe huwezi kulazimisha kizuri kionekane kibaya au kibaya kionekane kizuri, magu alikuwa Rais bora na ndiyo mana watanzania wengi (more than 80%) walimpenda, na walimpenda wakati akiwa Rais na sio baada ya kufariki au kuondoka madarakani kama viongozi wengi ambao husifiwa baada ya kutoka madarakani.
Huyu mama ilitumika nguvu kubwa mnoo kushawishi watu wampende lkn kiko wapi? Huwezi kulazimisha kizuri kionekane kibaya na kibaya kionekane kizuri, NEVER