Wabongo mnaishi kwa kutengeneza fitina za mitandaoni, zamani kabla ya uwepo wa mawasiliano ya kiwango cha juu majungu mliyotengeneza yaliishia kwenye masimulizi ya ana kwa ana watu wanapokutana.
Mzungu kuja na whatsapp na instagram kawachafua kabisa watanzania, badala ya kutumia mawasiliano ya kisasa kujenga maisha ya kisasa watanzania tunatumia kwa ajili ya kuumizana sisi kwa sisi, yule dada kule USA alifanikisha ushenzi wa October 29 kwa kutumia wepesi wa mitandao.
Wanasheria walipoingilia kati wakaweza kumpora akaunti zake wakawa wameikata miguu yake, sasa hivi anatumia anwani za watu wengine kutuma ujumbe mbalimbali wa kishenzi.
Mnatengenezea ubaya SSH kwamba eti ndiye aliyemfitini JPM akimtumia Mange. Huyo Mange kasababisha balaa kubwa mwezi October kwa hiyo na yeye alianza kumfitini SSH akimtumia kiongozi gani?.