ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,628
- 4,970
Uko wrong ndugu, mtu binafsi hawezi leta maendeleo ya nchi, labda ya familia.
Nchi kama nchi inahitaji viongozi imara ili kujipatia maendeleo.
Mfano 1994 Rwanda na Burundi zilikua nchi sawa tu kimaendeleo.
Leo hii Rwanda ameizidi Burundi kwa mbali Sanaa. Hii inatokana na usmart wa serikali yao.
Nchi kama nchi inahitaji viongozi imara ili kujipatia maendeleo.
Mfano 1994 Rwanda na Burundi zilikua nchi sawa tu kimaendeleo.
Leo hii Rwanda ameizidi Burundi kwa mbali Sanaa. Hii inatokana na usmart wa serikali yao.