No, usinigombanishe na ngabuCc.Nyani Ngabu
Jioni uje chit chat kuna picha ya mwanajf kaona hataki kuzidiwa na doctaWameshindwa kushindana nawe hivyo ndio wanaungana nawe, endelea kuwapenda tu wanakukubali mnomno [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Ntakutambulisha shemeji ako wakunyumbaKwani wa kunyumba huyu shemeji uliyemuanzishia thread ni wa humu jf ule uzi sijausoma mrefu sana
Mi uzuri staki. Mambo ya mtoto kurithi sura halafu kichwani kuwe kutupu sitaelewa.Mimi awe mzuri tu hela sitaki tutazipata tu,akiwa nazo poa tu
Na wa jf mtambulisheNtakutambulisha shemeji ako wakunyumba
Haviendani kabisaMi uzuri staki. Mambo ya mtoto kurithi sura halafu kichwani kuwe kutupu sitaelewa.
Weka na mie nikuone..Dadek nikionaga mwanamke anampost men kama Mimi na masifa kedekede roho uwa inaniuma sana wadada wa jf njoon pm niwape picha zangu mnifanyie promo
Tutamuweka chitchat kesharusha pm ahahahWeka na mie nikuone..
Muweke waendelee kutoka povu.Tutamuweka chitchat kesharusha pm ahahah
Yap kataka mwenyewe kasema haiwezekani iwe tu doctaMuweke waendelee kutoka povu.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Labda wanataka ukoboane
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Taarifa za kiintelijensia zinasema mama Sabrina ndo huyu jamaa mwenyewe ameamua kujipa promo kupitia mlango wa uani
[emoji144] [emoji144] [emoji144]Hivi kwa ninii mnapovukwa sasa akusifie wewe anakujua na avatar lako linatisha jaman wivu ni kidonda kila mtu ana uhuru wa kufanya anachojisikia kikubwa havunji sheria za jf mwenyewe najiandaa kuleta thread langu la kumzimikia mtu pamoja na uzee wangu kama nawaona mtakavyosonya huku mnasoma
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmh sasa ukikutana naye si utapiga bao kabla hata hujaguswa
i have no other words than this SALUTE.....you make me proudMama Sabrina mbona unaonekana kama limbukeni na unashoboka nhuyu mariooo!!! Utadhani umebikiriwa juzi!!! Kumbe Gwiji mtoaji!!!
Au umetumwa umfanyie promo huyu marioo hapa JF!!! Acha utoto; unajishushia heshima hata kama hatukujui physically!! Tangu juzi umekomaa na promo ya huyu marioo!!!
Stupid!!
Kuweka nini?Weka na mie nikuone..
Wakunyumba nasubiri huo utambulishoNtakutambulisha shemeji ako wakunyumba
Si ndio huyo kamsemaNa wa jf mtambulishe