Nyerererist
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 438
- 6
Hoja yako wewe iko wapi? Umekuja hapa kutetea utumbo (kama kaandika yeye) ulioandikwa na huyo msichana. Ndio hoja hiyo? Get the hell up on outta here...
Useless ni wewe unayetetea ujinga na useless ni huyo msichana anayedaiwa kasomea sheria na ataenda kuwa useless kwenye bunge useless. Get it boy?
"Makuadi Hawana Hata Chembe ya Ujasiri mara Mambo yanapoharibika (Chachage, 2002)"
Nadhani umeprove point yangu kwamba huna uwezo wa kudiscuss "Vitu" na ndio maana umeshindwa kuiona hoja yangu.. Huo utumbo unaosema ameuandika kwenye mtandao unakuhusu nini?? au unawahusu nini watanzania?? Useless Kuadi,,,, na hii ni messege kwenu nyie wote msiopenda kuangalia vitu na mmekalia kudiscuss watu.. Its time to change, na kama sisi tunaolilia change hatuta change, then we're wasting our time..
Ni ukweli mtupu mashambulizi yako (NYANI NGABU) sio kitu ambacho unaweza kukitumia kuwafundisha kizazi kijacho.. Na huwezi kutumia "pointless" ulizozitoa ili kuleta mabadiliko nchini kwetu.. Kubali kwamba leo umechemsha sio lazima ushinde kwenye mtandao huu,, Nenda kwa shigongo ndio size yako,, tena wameweka picha za uchi za wasanii wa kitanzania nadhani zitakufaa na zinaendana na mind yako..