Nani huyu Angellah Jasmine Kairuki

Status
Not open for further replies.
Ni vyema tukakumbuka kuwa Angela Kairuki hii si mara ya kwanza kugombea ubunge. Aligombea 2005 na wakati huo wala hakuwa Vodacom. Sasa mbona kipindi kile hamkuona uhusiano wa Angela na mafisadi akina Rostam..? Hii ni maraya pili amejaribu na amekubalika kachagulika tena kwa kura nyingi sana. Napenda mfahamu taarifa hizi badala ya kumhusisha dada wa Watu na mafisadi. Wagombea waliofadhiliwa na mafisadi kwanza wengi walianguka vibaya sana. Wapo ambao walipewa fedha waende kwenye majimbo kama ya Mzee wetu Mpendwa Samuel Sitta lakini wameanguka ile mbaya.
 
Nyani Ngabu natamani ungekutana na dada huyu ukamuona ni msomi wa kutosha. Watanzania wanahitaji wasomi kama Angela wawe bungeni kusaidia baadhi ya mambo ambayo hayendi sawa. Tumpe muda bunge litazinduliwa November utaona mambo yake...kwa nini uandikie mate ili wakati wino upo..? Ukiwa huko Atlanta marekani, ni vigumu kumfahamu huyu dada, mpe muda tu. Naamini utakuja omba msamaha hapa hapa baada ya kuona mambo yake
 
Nyani Ngabu natamani ungekutana na dada huyu ukamuona ni msomi wa kutosha. Watanzania wanahitaji wasomi kama Angela wawe bungeni kusaidia baadhi ya mambo ambayo hayendi sawa. Tumpe muda bunge litazinduliwa November utaona mambo yake...kwa nini uandikie mate ili wakati wino upo..? Ukiwa huko Atlanta marekani, ni vigumu kumfahamu huyu dada, mpe muda tu. Naamini utakuja omba msamaha hapa hapa baada ya kuona mambo yake
Mbunge yeyote wa CCM hataingia bungeni kufanya mambo yaende sawa. Wanaingia bungeni kudumisha utamaduni wa kulindana tu. Angalia msuguano kati ya wapiganaji na mafisadi. Nani aliyeshinda?
 
Ni vyema tukakumbuka kuwa Angela Kairuki hii si mara ya kwanza kugombea ubunge. Aligombea 2005 na wakati huo wala hakuwa Vodacom. Sasa mbona kipindi kile hamkuona uhusiano wa Angela na mafisadi akina Rostam..? Hii ni maraya pili amejaribu na amekubalika kachagulika tena kwa kura nyingi sana. Napenda mfahamu taarifa hizi badala ya kumhusisha dada wa Watu na mafisadi. Wagombea waliofadhiliwa na mafisadi kwanza wengi walianguka vibaya sana. Wapo ambao walipewa fedha waende kwenye majimbo kama ya Mzee wetu Mpendwa Samuel Sitta lakini wameanguka ile mbaya.
Hapo kwenye nyekundu unamwaribia na sio kama unavyodhania una unamtetea.

Unasema kwamba 2005 kabla ya kuwa Vodacom aligombea akaangukia pua-Unajaribu ku-support watu wanachosema hapa amepachikwa na Rostam. Hoja yako ingekuwa na nguvu kama alikuwa Vodacom kabla ya uchaguzi wa 2005, ingeonyesha kwamba hajapachikwa na Rostam kwasababu alishashindwa nyuma akiwa Vodacom.

Picha unayojenga:
2005 - Rostam = kaangukia pua
2010 + Rostam = Kashinda
 
WOS SIO kama watu wanaongea umbeya, nadhani pamoja na mapungufu ya hiyo Lugha lakini kikubwa, watu wanachokiongelea kuwa huyo mtu anaingia kwenye Bunge na Pia Uwaziri (Wizara ya Mama Six) kwa kupitia migongo ya watu, kuanzia kwa mama yake Ester Mkwizu na Rostam Aziz pamoja na Ngereja, tunasema ni kupendelewa mbona wakina Nape wanaangaika wenyewe kwa nguvu zao?
HApa hakuna majungu bali tuaangalia jinsi kikundi cha watu kinavyokuwa na uwezo wa kustructure uongozi wa nchi hii

kalibebwa haka NEC 2002.....na alipogombea uenyekiti wa uvccm labda sasa hivi kwa sababu hakaivi na watu
mix with yours
 
From what I know she can be a good representative if she want to be one. Tatizo ni kuwa wabunge wengi kama yeye, na wenye biashara kama yeye wanaenda kutafuta contacts na kuendeleza biashara zao. Bunge la wajasiriamali in the making.
 
kama vijana tunaotegemewa na taifa la kesho tunaongea pumba zote hizo kweli bado hatujakomaa kisiasa, hivi kwa nini hatuthubutu kuhoji nani huyu Zainab Kawawa ambaye CV yake by far amezidiwa na Angela na hana long experience kwenye ufanyakazi je huyu mnamwona anafaa? Bahati ya mtu msiilalie mlango wazi angela kapeta muhimu nasisi tutafute ni jinsi gani 2015 tunaweza kuwa wabunge
 
kama vijana tunaotegemewa na taifa la kesho tunaongea pumba zote hizo kweli bado hatujakomaa kisiasa, hivi kwa nini hatuthubutu kuhoji nani huyu Zainab Kawawa ambaye CV yake by far amezidiwa na Angela na hana long experience kwenye ufanyakazi je huyu mnamwona anafaa? Bahati ya mtu msiilalie mlango wazi angela kapeta muhimu nasisi tutafute ni jinsi gani 2015 tunaweza kuwa wabunge

It is not your fault!
 
Hivi nikimbeba mtu mgongoni...halafu nikapanda ngazi na yeye atasema kapanda ngazi jamani?...atasema hivyo kama watu hawakumuona nilipombeba mgongoni...na ndio siasa ilivyo...unafika ghorofa ya saba na wewe unadai aah ngazi zile kazi kweli kuzipanda :confused2:
 
Mbona mnamuandama Anjela? Mmewahi kujiuliza Maji marefu atawawakilishaje wananchi wake? Na wengine wote ambao ni darasa la 7 au mnaosema wana elimu ndogo.
 
Mbona mnamuandama Anjela? Mmewahi kujiuliza Maji marefu atawawakilishaje wananchi wake? Na wengine wote ambao ni darasa la 7 au mnaosema wana elimu ndogo.

Mmojammoja tutawachambua....huyo Maji Marefu amewekwa na wateja wake Makamba & Co...na tayari ana kesi ya utapeli Kenya tena ya mirathi...kwa hivo kajimaliza mwenyewe
 
kama vijana tunaotegemewa na taifa la kesho tunaongea pumba zote hizo kweli bado hatujakomaa kisiasa, hivi kwa nini hatuthubutu kuhoji nani huyu Zainab Kawawa ambaye CV yake by far amezidiwa na Angela na hana long experience kwenye ufanyakazi je huyu mnamwona anafaa? Bahati ya mtu msiilalie mlango wazi angela kapeta muhimu nasisi tutafute ni jinsi gani 2015 tunaweza kuwa wabunge
deisy
Join DateThu Aug 2010
Posts1
Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0


Nina shaka kuu juu ya usemayo. Hayo maneno yenye nyekundu inaonyesha jinsi gani watanzania wengi tulivyo rahisi kununulika au kutumika kama "bendera fuata upepo". Kama hujui leo huyo mwenzio ameingiaje huko Bungeni, utaweza kujua hiyo 2015???.

Lakini pengine shida ni kuelewa hoja au labda kama umejiunga kwa kazi maalumu ya kujibu tu kwa maslahi binafsi ambayo yanapingana na mawazo ya wengi.

Kwanza ieleweke kuwa kila huwezi kuwachangua wote walioteuliwa kwa mara moja. Mada nyingine zilishaletwa na zitaletwa kuhusu hao ambao hawajaguswa hapa.

Pili, kinachozungumzwa ni kuwa "hawa watu wa jinsi hii hata huyo Kawawa wanaenda huko Bungeni kuwakilisha maslahi ya nani ikiwa wamebebwa na hata hilo kundi wanalodai kuingizwa (Wafanyakazi) lingekuwa ndilo linapiga kura kitaifa kupitia shirikisho lao (TUCTA) kupata mtu wa kuwawakilisha lingehoji uwezo na ufahamu wa watu kama hawa juu shida za wafanyakazi wote wa Tanzania.

Kumbuka ni miezi michache tu iliyopita, Serikali ya CCM kupitia Mwenyekiti wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Nchi yetu ilisimama na kuwabeza hadharani wafanyakazi na kutoa matamshi wa kashfa dhidi ya Uongozi mzima wa TUCTA...Je, unadhani watu kama hawa ambao wanagushwa kwa karibu na viongozi wakuu wa CCM na watoto wa vigogo wanaweza kupigania maslahi ya wafanyakazi huko Bungeni kama si dangaya toto??.

Jiulize ikiwa huyu mbunge mtarajiwa ana wasifu ambao una mawaa (kuhusu kazi anayofanya sasa na ofisi aliyopo), unadhani kuna kitu hapo kama si kupachikwa tu ili yatimie maandiko?.

Twaelewa kuwa Ubunge hauihitaji elimu ya juu sana na hata ukiwa na Phd. bado haimaanishi uwezo wako wa kuelewa mambo upo juu..lakini wasifu wa masuala ya kijamii na hasa kundi unaloliwakilisha ni muhimu sana katika kunagalia iwapo mhusika anauwezo unaolingana na nafasi aliyopewa..Kumbuka, kukaa kazini kwa muda mrefu hakumaanishi wewe unauzoefu wa matatizo ya wafanyakazi wengine ambao umewakuta au watakuja baada yako.
 
kama vijana tunaotegemewa na taifa la kesho tunaongea pumba zote hizo kweli bado hatujakomaa kisiasa, hivi kwa nini hatuthubutu kuhoji nani huyu Zainab Kawawa ambaye CV yake by far amezidiwa na Angela na hana long experience kwenye ufanyakazi je huyu mnamwona anafaa? Bahati ya mtu msiilalie mlango wazi angela kapeta muhimu nasisi tutafute ni jinsi gani 2015 tunaweza kuwa wabunge

Mix with yours!
 
Kutojua kiingereza kwa ufasaha sio aibu aibu ni kutojua kiswahili kwa ufasaha.
 
deisy
Join DateThu Aug 2010
Posts1
Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0


Nina shaka kuu juu ya usemayo. Hayo maneno yenye nyekundu inaonyesha jinsi gani watanzania wengi tulivyo rahisi kununulika au kutumika kama "bendera fuata upepo". Kama hujui leo huyo mwenzio ameingiaje huko Bungeni, utaweza kujua hiyo 2015???.

Lakini pengine shida ni kuelewa hoja au labda kama umejiunga kwa kazi maalumu ya kujibu tu kwa maslahi binafsi ambayo yanapingana na mawazo ya wengi.

Kwanza ieleweke kuwa kila huwezi kuwachangua wote walioteuliwa kwa mara moja. Mada nyingine zilishaletwa na zitaletwa kuhusu hao ambao hawajaguswa hapa.

Pili, kinachozungumzwa ni kuwa "hawa watu wa jinsi hii hata huyo Kawawa wanaenda huko Bungeni kuwakilisha maslahi ya nani ikiwa wamebebwa na hata hilo kundi wanalodai kuingizwa (Wafanyakazi) lingekuwa ndilo linapiga kura kitaifa kupitia shirikisho lao (TUCTA) kupata mtu wa kuwawakilisha lingehoji uwezo na ufahamu wa watu kama hawa juu shida za wafanyakazi wote wa Tanzania.

Kumbuka ni miezi michache tu iliyopita, Serikali ya CCM kupitia Mwenyekiti wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Nchi yetu ilisimama na kuwabeza hadharani wafanyakazi na kutoa matamshi wa kashfa dhidi ya Uongozi mzima wa TUCTA...Je, unadhani watu kama hawa ambao wanagushwa kwa karibu na viongozi wakuu wa CCM na watoto wa vigogo wanaweza kupigania maslahi ya wafanyakazi huko Bungeni kama si dangaya toto??.

Jiulize ikiwa huyu mbunge mtarajiwa ana wasifu ambao una mawaa (kuhusu kazi anayofanya sasa na ofisi aliyopo), unadhani kuna kitu hapo kama si kupachikwa tu ili yatimie maandiko?.

Twaelewa kuwa Ubunge hauihitaji elimu ya juu sana na hata ukiwa na Phd. bado haimaanishi uwezo wako wa kuelewa mambo upo juu..lakini wasifu wa masuala ya kijamii na hasa kundi unaloliwakilisha ni muhimu sana katika kunagalia iwapo mhusika anauwezo unaolingana na nafasi aliyopewa..Kumbuka, kukaa kazini kwa muda mrefu hakumaanishi wewe unauzoefu wa matatizo ya wafanyakazi wengine ambao umewakuta au watakuja baada yako.

Bw Ngoshwe,
Umenena vema, katika mambo mawili amb ayo (nime ya hightlight katika RED). Ningependa kutoa mwanga katika maeneo hayo kwa faida ya wenye nia ya kujua ukweli juu ya mchakato na mtazamo juu ya mgombea anayezungumziwa....
Wawakilishi wa wafanyakazi, wanatakiwa kuwa wanachama wa TRADE UNION katika matawi ya ofisi zao. Angellah ni Mjumbe hai wa TUGHE sheria na pia ni Mjumbe wa Baraza la Wafanyakazi la wizara. The same applies kwa Zainab Kawawa ambaye naye ni mjumbe wa Trade Union ya mahala anapofanyia kazi. Mchakato wao umehusisha wao kueleza nia ya kugombea kupitia kundi la wafanyakazi ili wapatiwe barua za utambulisho kwenye Ofisi za TUCTA taifa, ambapo TUCTA taifa wamewawasilisha rasmi idadi ya wanachama wote wenye nia ya kugombea. Endapo TUCTA ingeona hawafai...ingeyaondoa majina yao.....Siamini kwamba na huko TUCTA watu unaowaita mafisadi wana influence ya kuwalazimisha kupitisha majina....Kweli Mgaya anaweza kulazimishwa?
Kwa mkoa wa Dar-es-Salaam walijitokeza wanachama 17 akiwemo Makamu Mwenyekiti wa TUGHE TAIFA na Makamu Mwenyekiti wa CWT Taifa. Wote hao walipigiwa kura katika Mkutano Mkuu wa UWT Mkoa na hatimaye washindi waliopatikana walipelekwa Dodoma kushindanishwa na washindi wa kila Mkoa ili wapatikane washindi wawili. Kwa hali hiyo dhana ya kwamba TUCTA hawakushiriki haina mantiki hapa.
Kuhusu uwezo wao wa kujua shida za wafanyakazi sina shaka hata kidogo kwani na wao pia ni wafanyakazi na shida husika wanazifahamu kwani zinawagusa pia. Isitoshe....hatafutwi CANDIDATE ambaye yuko ready-made kwa ufahamu wa shida za wafanyakazi...kwani shida zinabadilika kila siku...issues za miaka miwili iliyopita sio lazima ziwe issues za leo hii....kinachotafutwa ni mtu mwenye uwezo wa kukaa na wafanyakazi na kusikiliza na kuyaelewa masuala yao ya siku,ambayo yanahitaji ufuatiliwaji na kusemewa Bungeni..... Kwa mantiki hiyo...watu hawa, wakiwa ni wasomi...uwezo huo watakuwa nao bila wasiwasi wowote....kama ni TUCTA, au CWT au TUGHE ikiwa na issues ambazo zinahitaji kuongelewa Bungeni...kwa vyovyote vila watawaona na kuwaeleza na wao wataziwasilisha kunakohusika....KWA HILI HATUNA HAJA YA KUANDIKIA MATE WAKATI WINO UPO.....tusubirie..kama watashinda na kuingia Bungeni tuone kazi yao.
Kuhusu wasifu wa Mbunge mtarajiwa...sina shaka na uwezo wake wa kuelewa na kuchangia bungeni masuala ya wafanyakazi.....kwa taarifa yako...wakati akiwa kwenye Ofisi ya Mwandishi wa Sheria (Chief Parliamentary draftsman) yeye amehusika kwa kiasi kikubwa kutengeneza sheria mpya ya wafanyakazi.......hali hiyo inaweza kukupa picha huyu sio mtu wa kubabaisha....
Mimi ninachoshauri, pamoja na nia njema ya kutaka kupata wawakilishi imara wenye uwezo wa kutetea maslahi ya wafanyakazi na wananchi wa ujumla....ni vema tukawa objective katika uchambuzi wetu na pia kujitahidi kupata FACTS badala ya kuongea kwa hisia tu.
 
Nimesoma kuanzia ukurasa wa kwanza hadi wa mwisho na sijaamini macho yangu kama kweli sisi (Watanzania) wenye access na mitandao ya wazi namna hii tunakaa na kusearch personal profiles za mtu badala ya kusearch profiles ya kazi alizowahi kuzifanya na tukaziweka hapa na tukazichambua then ndio tukasema huyu anafaa au hafai,

Ni aibu sana, na kubwa kwa mtu kama "NYANI NGABU" ambaye hata yeye kiingereza sio lugha yake ya kwanza anakaa muda wote hapa anakosoa "spelling and grammar".... teh teh teh... Kwa kweli ni aibu sana na inabidi tujiulize sisi wenyewe vijana hivi tunaelekea wapi kimitazamo kabla hatujauliza hivi nchi yetu inaelekea wapi,,

Eti anauliza watu "Can you hire her as your legal advisor?".. kana kwamba unajua kiingereza kuliko hata kikabila chako.. Usifanye hivyo,,maana kama wewe unahoji vitu vya namna hivyo inabidi ujiulize, je mtu ambaye hakupata nafasi ya kwenda shule na ambaye hana access na mitandao mitamu kama hii anahoji vitu gani??

Ni aibu sana na ninaibu sana,, yaani watu mnaweka hadi picha za mama yake,,, amewafanya nini? hata kama hapa ni freedom of speech (kama mnavyodai)? Mume wake amewafanya nini??

hata mie nikitaka kugombea uongozi nitaomba msaada wa hali na mali kutoka kwa mtu yoyote ninaefahamiana nae na ambaye anaona mimi ninaumuhimu wa kwenda kua mwakilishi.. Ndio maana kina John Mnyika wanaandikia E-mail watu kwenye facebook wakiomba msaada wa hali na mali,, Ndio maana kina Sabodo wanawasaidia CHADEMA ili kusudi waweze kuendesha Helkopita zao zikiwa na mafuta yakutosha n.k. Huyo RA mnasema ni mwizi + fisadi,, endeleeni kupiga kelele hadi mtakapoolewa maana hamtaki kijifunza na kuelewa vitu kwa upana..
 
Kuhusu Angela Kairuki,, Naona kuna watu wanajidai wanamfahaaamu,, eti kwa vile uliwahi kufahamiana nae kwenye Kitchen party au Harusini,, tena inawezekana mlikua mshalewa serengeti za moto maana hamna kumbukumbu vizuri..

Nimefika sehem nimeanza kuona kwamba "Tatizo sio CCM wala serikali, tatizo ni watanzania wenyewe".. Maana minds zetu zimekua too much limited na zimekua zikiongozwa na jinsi magazeti yanavyoandika.. Thats a shame players... Inabidi tuanze kubadilika sisi wenyewe na badala ya kuchambua watu tuchambue maswala.. Kwa mfano NYANI NGABU ambaye amemcriticise sana bibi ANGELA ningemuona anabusara endapo angechambua miswada au sheria ambazo bi Angela alishiriki kuziandaa na kuziandika... hapo ndio nitakuona kweli umeelimika na una ujuzi wa sheria.. kuliko kukosoa English yake.. Ukienda Uingereza wapo waingereza wenye miaka 60+ wamezaliwa uingereza lakini ukiwaambia waandike kwa mfano barua kwa kiingereza itakua taabu.. sembuse bi angella,, halafu wewe mfa kunoga ndio unajidai unaijua ngeli,, check your self na hivyo viji vocabularly useless, eti sijui ili tukuone umesoma sana... he he he

Lakini cha msingi ninachojaribu kukisema,, hata kama CCM watawapitisha "Maimartha wa Jesse na Benny Kinyaia" kua wabunge, mie hilo halinihusu kwa sababu halina madhara kwenye maisha yangu ya kila siku.. Ila kama watapandisha bei za mafuta, au kodi, hapo sasa ndio nitaanza kuangalia kwa nini wanafanya hivyo na sitamshambulia yule aliepandisha hivyo vitu, bali nitaangalia takwimu na umuhimu kwa nini imekua hivyo.. thats how great minds operate,,sio tunakalia eti ooh huyo kaletwa na mafisadi, ooh huyo,, damn guys lets be serious

Washiriki wenzangu wa hapa Jamii forums, tunaelekea uchaguzi mkuu, nawaomba tugraduate kwenye lile kundi la "huu mtandao ni wa watu wenye "Small Minds" who are 100% motivated to discuss people.. Ni wakati wa kuchambua sera moja baada ya nyingine,,hilo ndio zuri na litakua na tija kwetu, watanzania wote na kizazi kijacho,, Otherwise tupigeni kelele ila Bi Angella teyari ashaingia bungeni na "She's better than you, and there is nothing you can do about it" take that

Asalaam aleykum
 
There is no need to kiss your beautiful Ass my friend, huna hoja,,, nenda mitandao ya shigongo ndio size ya mind yako,, useless

Hoja yako wewe iko wapi? Umekuja hapa kutetea utumbo (kama kaandika yeye) ulioandikwa na huyo msichana. Ndio hoja hiyo? Get the hell up on outta here...

Useless ni wewe unayetetea ujinga na useless ni huyo msichana anayedaiwa kasomea sheria na ataenda kuwa useless kwenye bunge useless. Get it boy?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom