WOS SIO kama watu wanaongea umbeya, nadhani pamoja na mapungufu ya hiyo Lugha lakini kikubwa, watu wanachokiongelea kuwa huyo mtu anaingia kwenye Bunge na Pia Uwaziri (Wizara ya Mama Six) kwa kupitia migongo ya watu, kuanzia kwa mama yake Ester Mkwizu na Rostam Aziz pamoja na Ngereja, tunasema ni kupendelewa mbona wakina Nape wanaangaika wenyewe kwa nguvu zao?
HApa hakuna majungu bali tuaangalia jinsi kikundi cha watu kinavyokuwa na uwezo wa kustructure uongozi wa nchi hii
Kaka Kituko, UMBEA ni taarifa inayotolewa isiyo na uthibitisho na ushaidi.... Mpaka sasa zaidi ya circumstantial connection kwamba mtu huyu anafanya kazi Vodacom, ambapo ametokea Ngeleja na kazaliwa na Esther Mkwizu, hakuna ushahidi wowote wa maana wa kum discredit,
Nashangaa unafanya comparison kati ya Angellah na Nape, ukiangalia kwa msingi wa mtu kupanda kwenye ngazi za siasa kwa jina, basi Nape ana jina kubwa kwenye duru za siasa za TZ kuliko Angellah....NAPE ni mtoto wa Muasisi wa CCM....Nape ni Mjumbe wa NEC, hivyo.....mfano wako haiko relevant kabisa hapa kwamba anaangaika kwa nguvu zake.... Huyu Angellah anaongelewa as if, ni mtoto wa RASHID KAWAWA au KIONGOZI Wa juu MStaafu au aliyepo madarakani..... Mbona hamuongelei majina mengine yaliyomo kwenye orodha ile....Kama sikosei Orodha ina majina 100....laiti....huyu mmoja kakosea nini?
Tufanye uchambuzi...lakiini uwe ni uchambuzi wa substance na sio majungu, lest we categorize ourselves kwenye kundi la SIMPLE MINDS...zinazodiscuss PEOPLE... JAMII FORUM inaundwa na GREAT THINKERS...wanaodiscuss IDEAS kwa kutumia hoja na facts zilizo na uhakika.