Gerald Furaha Maro
New Member
- Apr 28, 2012
- 2
- 0
Le Mutuuz are we comparing chairperson here? and we have be asking CV ya naibu waziri ambaye ni wa taifa sio upande wowote? this left a lot of question for politician of this country....
- Duh! jamani imetossha sasa maana this is simply overqualified, sasa tuwe objective na openminded kama watu tulioenda shule somo kama hili tunatakiwa tulinganishe, hebu huko upande wa pili leteni CV ya Mwenyekiti ili tukate mzizi wa fitina, ni maoni yangu tu! ha! ha! ha!
William.
Mi sidhani kama ni 'overqualified' kwa maana degree ni moja tu na mengine ni mapambo ambayo kwa yeyote aliyewahi kuishi ulaya, kupata certificates ni jambo lisilotisha sana kwa kuwa kila summer waweza kuzipata tu. Lakini pia tukumbuke kuwa certificates hata zingekuwa 20 hazitengenezi hata Diploma moja, vivyohivyo diploma hata ziwe 100 hazitengenezi degree hata moja na degree za kwanza kama za Mugabe hata ziwe 30 hazitengenezi hata degree moja ya uzamili na uzamili hata 10 hazina PhD hata moja.
Kwa kufaa nafasi hiyo anafaa kwa kuwa TZ ndivyo ilivyo na hakuna apataye bila kujulikana, ila kwamba ndiye mwamba na kinara kwa waTZ wote sidhani kama ni sahihi labda ni sahihi tu kwamba ndiye aliyeonekana na mheshimiwa anayeteua au anayeteuliwa kipindi hiki
- Duh! jamani imetossha sasa maana this is simply overqualified, sasa tuwe objective na openminded kama watu tulioenda shule somo kama hili tunatakiwa tulinganishe, hebu huko upande wa pili leteni CV ya Mwenyekiti ili tukate mzizi wa fitina, ni maoni yangu tu! ha! ha! ha!
William.
mwenyekiti wake wa kamati ya katiba na sheria ni mhe. pindi chana, ambaye alitaka uwaziri apewe yeye, kwa hiyo Degree yake ya russia. mwenyekiti wake pindi chana alikesha kwa waganga kule bagamoyo akimloga JK ampe uwaziri, wapi bwana kumbe JK halogeki. angela anastahili, siyo pindi chana.- Duh! jamani imetossha sasa maana this is simply overqualified, sasa tuwe objective na openminded kama watu tulioenda shule somo kama hili tunatakiwa tulinganishe, hebu huko upande wa pili leteni CV ya Mwenyekiti ili tukate mzizi wa fitina, ni maoni yangu tu! ha! ha! ha!
William.
Mmh hilo sur name lake kama la Nchi jirani kaskaziniMtwara
Surname ipi?Mmh hilo sir name lake kama la Nchi jirani kaskazini
Mwakibuga....
....Ikungulyabashashi hatushikiki
You better go back to school manSurname ipi?
Kama Marehemu MungaiWaliingia zamani wakati serikali haina uddhibiti wa mipaka. Kwa sasa ni raia ila hajawahi kuomba uraia. Wana chama chao na wanajuwana wote wanaofanyakazi kila sehemu Tanzania. Kuna mwaka pale UD palitaka kuwaka moto baina yao maana walikuwa hawaaminiani. 1994.
Ni RAIA wa nchi gani kwaniWaliingia zamani wakati serikali haina uddhibiti wa mipaka. Kwa sasa ni raia ila hajawahi kuomba uraia. Wana chama chao na wanajuwana wote wanaofanyakazi kila sehemu Tanzania. Kuna mwaka pale UD palitaka kuwaka moto baina yao maana walikuwa hawaaminiani. 1994.
Ok, ila ni wazi haujanielewa!You better go back to school man